Kuchelewa kufika kazini

saidhafidh

Senior Member
Apr 10, 2013
119
7
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza, naomba ufafaniz juu hili.
Kuna rafiki yangu shulen kwao alikuja afisa elimu na kupiga mstri mwekwend kweny daftar la mahudhurio la walimu muda wa7:28asubuh na kumuagiza mkuu wa shule awambie wale wote waliokuja baada yake waandike barua ya maelezo kwa nini wamechelewa kazini. Maswali yangu ni kam ifuavyo.
-jee ni upi muda sahihi wa mwalimu kuisabika km amechelewa kazini?
-Jee ni kuchelewa kwa kipindi na muda gani kisheria mwalim atatakiwa kuanza kuchukuliwa hatu.
- Jee kukataa kuandika barua ya maelezo ni kosa kisheria
Ufafanuz zaid naomba juu hili jambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mstari wa bluu unapigwa saa moja na nusu (7:30) na mwekundu ni 7:45.muda wa kuja kazini ni saa 7:00-7:30.
 
Maafisa elimu ni miungu watu siku hizi. Yupo mmoja juzi kasema standing order haifanyi kazi nilinyamaza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…