Kama kichwa cha habar kinavyojieleza, naomba ufafaniz juu hili.
Kuna rafiki yangu shulen kwao alikuja afisa elimu na kupiga mstri mwekwend kweny daftar la mahudhurio la walimu muda wa7:28asubuh na kumuagiza mkuu wa shule awambie wale wote waliokuja baada yake waandike barua ya maelezo kwa nini wamechelewa kazini. Maswali yangu ni kam ifuavyo.
-jee ni upi muda sahihi wa mwalimu kuisabika km amechelewa kazini?
-Jee ni kuchelewa kwa kipindi na muda gani kisheria mwalim atatakiwa kuanza kuchukuliwa hatu.
- Jee kukataa kuandika barua ya maelezo ni kosa kisheria
Ufafanuz zaid naomba juu hili jambo