Kuchelewa Kuanza Hedhi

Ushamtia mimba mtoto wa watu,jiandae kulea au kwenda gerezani!! Pole sana,ndo maisha lakini
 
Ok! Ok! Sasa kama nimekuelewa hivi! Unaposema Sayansi ya Jamii bila shaka unamaanisha Sayansi ya Kiafrika yenye uwezo wa kuzuia mvua isinyeshe au kupiga radi mchana wa jua kali; au?!
Ndio Mkuu.....

Mbona kawaida sana iyo michezo.....hedhi inazuiwa kutoka kabisa ila siku ikiachiwa mbona atajuta mama kila siku itakua inamiminika kufidia....

Fanya background cheki ya familia yenu...
Ila again kabla ya kuanza kutumia madawa makali ya hospitalini....

Jirizisheni kwenye Sayansi ya Jamii...nendeni Kanda ya Ziwa huko ambako mamba anammeza mtu akiwa anaona bafuni kwenye karai kuna wataalam wazuri wa izo fani..

Ila mm binafsi naamini ni Sayansi ya Jamii tu hapo ingekua ni ugonjwa wa hospitalini ungekuta umeambatana na dalili za kihospitali
 
Pumb.. A. Vu
 
Umemuelewa lakini??
Kabisa mkuu,jinga sana hilo jamaa!! Utajuaje binti kama haingii hedhi kama huko karibu nae kimapenzi???
Haha mkuu hawa ndo wale wasenge sasa uliokua unawaongelea
Nimekuelewa bro ila sijaona sababu ya kuitana wasenge badala ya kueleweshana kawaida.
Siwezi kujibu maswli ya kisen'ge
 
Ushamtia mimba mtoto wa watu,jiandae kulea au kwenda gerezani!! Pole sana,ndo maisha lakini
Pole kwa kuwa na akili fupi kiasi kwamba unashindwa hata kuelewa tofauti kati ya kuchelewa kuanza hedhi na kutopata hedhi!
 
Mnh!! Mkuu unanitisha ujue ingawaje mchango wako huu unanipa umuhimu wa kuliangalia hili suala kwa mapana na marefu
 
Kabisa mkuu,jinga sana hilo jamaa!! Utajuaje binti kama haingii hedhi kama huko karibu nae kimapenzi???
Ulivyo juha, umeshindwa kabisa kufahamu kwamba anawaongelea watu dizaini yako!

Wenye akili zao wameanza kusoma na kuelewa mada na sio majuha dizaini yako waliokurupuka kuchangia kwa kusoma heading
 
Mnh!! Mkuu unanitisha ujue ingawaje mchango wako huu unanipa umuhimu wa kuliangalia hili suala kwa mapana na marefu
Mbona iyo michezo ya kawaida kawaida sana Mkuu....

wengine wanapigwa vice versa yani yeye hedhi mwanzo mwisho kila siku kuvaa pedi tuu yanii mwaka mzima....

Iyo sio ishu ya hospitali ndo mana nimekushauri kabla ya kuanza kutumia dawa za hospitali au operesheni jaribuni sayansi ya jamii...

Zaidi fanya research kama unawajua wenyeji wa kanda ya ziwa hasa usukumani au kigoma wanaweza kukupa details zaidi mana huko ndo michezo yao......
 
Kwa mara ya kwanza nimetukanwa humu leo.

Poa mkuu.Swali langu lililenga kutaka kujua kama ameota maziwa na nywele za siri ila hedhi hana.Au pengine hana vyote.Umeishia kunitukana.

I pray that huyo msichana kama ni ugonjwa apone.
Pole kwa kutukanwa
 
Vipi binti yetu ameshafanikiwa kuvunja ungo au mambo bado magumu?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…