Kuchambana kwa kiingereza…

Ziroseventytwo

Platinum Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
9,398
Reaction score
17,792
Mimi kiingereza sijui vizuri. Ila nasikia kwa 80% na nikisoma naelewa kwa 85%
Tupia maneno ya kuchambana hapa kwa lugha ya kiingereza.
Nimeweka hapa hii sababu nimemsikia mtangazaji wa kiliFm, akiandaa shindano la kuchambana kwa kingereza
Huyu jamaa anaitwa kijumbe. Ni dume lakini linaendesha kipindi cha cha taarabu na linaongea kimipasho kama kina Mishi bomba.
 
Unamzungumzia Kijumbe Bryants au? kama ndiye mbona yule ni demu kwanzia sauti hadi kila kitu thou sijawahi kumuona.
 
Kwamba tutumie karatasi badala ya maji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…