Josephine03
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 752
- 302
giLESi na wewe umezidi kuwa mfyatuko... Siku ya kwanza tu tayari ushampa mate?!!! Siku ya tatu si utampa tigorusha?
Humu watu mnavituko sana eti Tigorusha
Last edited by a moderator:
giLESi na wewe umezidi kuwa mfyatuko... Siku ya kwanza tu tayari ushampa mate?!!! Siku ya tatu si utampa tigorusha?
kazi ipo hapa, vidume muende short course ya kula denda
Kissing is an art...ila mambo yote ipo Nyanda za Chini Kusini, ile kitu ONE EYED SNAKE ikishapekechwa huko, mate yote kinywani yanayeyuka kama mkate kwenye TOASTER.
Ila kweli maana lingine linakutolea Ulimi uunyonye heee kuna matatizo hapa
hahahahah mtani sikuwezi lol
KWANZA NITANGULIZE SAMAHANI LAKINI NGOJA TU NILISEME:
Kwa Wanawake na Wanaume,wote msikie,Kuna baadhi yenu mnatamani kuwa na Relationship nzuri,lakini,tatizo,hata Kissing tu ni shida...Mtafeli!Unakiss na mtu ana vurugu utadhani anapalilia migomba,haieleweki anafanya nini,hadi ukitoka hapo unapitia dukani kununua SALIMIA ukajichue Lips zote za moto,hoi,nyang'anyang'a.Jamani naongopa??Hamna watu wa aina hii??
Even Kissing is a problem,ukipewa kulima lami si ndo utaleta maafa??Kwani kujifunza kissing nayo imekuwa ngumu kama Mzaramo kuongea Spanish?Wengine mnakosa na mmekosa Wachumba hivihivi kwa kudharau hili,Day 1 tu umepewa kideti unakiss unaruka ruka kama mabehewa ya Tazara,mdada wa watu anaona mmmh hiki kimbembe,siku ya kukupa jibu anakwambia,''Sorry, I think I am rushing into this relationship,I need time to be alone''
Kumbe umeharibu mwenyewe kaogopa tu kusema Hujui kubusu maana utampiga makofi na wengine mtaanza kutukana bure lakini habari ndo hiyo,Utapigaje Busu kama unapigana vita vya MAUMAU???
kukiss mambo ya kizungu...sie twapenda kugegeda...mbinue mpe dushelele
hahahah wachane wachane..ila men ambayo haijui kukiss is a big turnoff....kama hajui si ajifunze kabla ya kutaka kupractice kwa bibie...
Lol umesababisha nicheke kwa sauti! Nakumbuka mzee mmoja alikuwa anafundisha akasema waume wengine kwenye ndoa hawataki mambo ya kukiss na kurom - eti ni mambo ya kitoto, si wanajua wanachotaka sasa kuzunguka ya nini? "Wewe ilete hapa mi niishughulikie tumalize haja zetu" - direct to the point lol!
KWANZA NITANGULIZE SAMAHANI LAKINI NGOJA TU NILISEME:
Kwa Wanawake na Wanaume,wote msikie,Kuna baadhi yenu mnatamani kuwa na Relationship nzuri,lakini,tatizo,hata Kissing tu ni shida...Mtafeli!Unakiss na mtu ana vurugu utadhani anapalilia migomba,haieleweki anafanya nini,hadi ukitoka hapo unapitia dukani kununua SALIMIA ukajichue Lips zote za moto,hoi,nyang'anyang'a.Jamani naongopa??Hamna watu wa aina hii??
Even Kissing is a problem,ukipewa kulima lami si ndo utaleta maafa??Kwani kujifunza kissing nayo imekuwa ngumu kama Mzaramo kuongea Spanish?Wengine mnakosa na mmekosa Wachumba hivihivi kwa kudharau hili,Day 1 tu umepewa kideti unakiss unaruka ruka kama mabehewa ya Tazara,mdada wa watu anaona mmmh hiki kimbembe,siku ya kukupa jibu anakwambia,''Sorry, I think I am rushing into this relationship,I need time to be alone''
Kumbe umeharibu mwenyewe kaogopa tu kusema Hujui kubusu maana utampiga makofi na wengine mtaanza kutukana bure lakini habari ndo hiyo,Utapigaje Busu kama unapigana vita vya MAUMAU???