mkono wa nyoka
JF-Expert Member
- Sep 21, 2015
- 334
- 54
hiyo hotel mmiliki ni huyu lyatonga mrema au
nilianzisha thread hapa jf nikiulizia kama magufuli akili zake ana matatizo ya kisaikolojia au vp? maana jamaa anapenda sana kubomoa yaani kupita kiasi tangia akiwa waziri wa ujenzi, nikatukanwa sana na uzi ukafutwa, kama hii habari itakua sahihi basi magufuli apimwe akiliIla naanza kuingiwa mashaka na akili za Magufuli,you simply can't do this in the name of environment preservation. Only mad man can do this,not sane man!
kama wamejenga isivyo halali wabomolewe tu kwani hakuna namna nyingineNyie wenyewe ndio mnahusisha hili zoezi na siasa! Kama watu wamejenga sehemu ambazo haziruhusiwi sheria ifate mkondo! Hata watu wa mkwajuni na bonde la msimbazi wamebomolewa ..wala si Naura pekee!
Hata wamkwajuni nao wanasema walipata vibali!
hapana ni TLPHapana, ni ccm
Kweli ndugu, nashauri wafuatiliwe pia walioruhusu kujengwa hapo ila kama hakuna aliyeruhusu, ianguke ndani ya cku 9Jamaa ana HATI na kibali cha ujenzi? Je wakati wanatoa HATI hawakujua kama hapo ni bondeni?/ Je hizo gharama za ujenzi nani atazilipa?
Kweli apimwe akili. Tunajenga au tunabomoa? Yeye angeweka misingi kuanzia sasaiv yasitokee ya nyumanilianzisha thread hapa jf nikiulizia kama magufuli akili zake ana matatizo ya kisaikolojia au vp? maana jamaa anapenda sana kubomoa yaani kupita kiasi tangia akiwa waziri wa ujenzi, nikatukanwa sana na uzi ukafutwa, kama hii habari itakua sahihi basi magufuli apimwe akili
Kwa hiyo unataka watu waachwe tuu kuendelea kuvunja sheria kwakuwa kuna watu walivunja huko nyuma na kuwapa vibali kujenga pasipo stahili? Hata watu wa bonde la msimbazi wamekubwa na hii bomoa bomoa si Naura pekee....
Sasa mkuu ule mto una faida gani? Maana hata maji haupitishi ni kama mfereji tu. Kama itaamuliwa kubomolewa ntaamini watendaji wa serikali hamna kitu kichwani.Yahi ukipita pale hata ukiangalia kwa macho tuu utaona kabisa ni wazi wamejenga kwenye mto..
Wacha kusema usichokijuaNaura Springs imejengwa kwenye mto Goliondoi na ukitaka kujua athari za ujenzi huo kaangalie flow ya maji ya mto Goliondoi ilivyopungua