kuna mtu ananisumbua hata simjui aisee kila saa anabipu ...dunia hii ya maextreme kuna mtu anabipu kweli...ukipiga haeleweki
natumia laptop...line ipo kwenye modem so huwa naongea humo humo
Ni mimi , umenisahau mara hii?????kuna mtu ananisumbua hata simjui aisee kila saa anabipu ...dunia hii ya maextreme kuna mtu anabipu kweli...ukipiga haeleweki
una hakika kweli? mbona mi naona kila kitu ....nina phonebook hapa...missed call received natuma sms kila kitu mkuu...upo na mchina nini?aiseeeeee babayangu kwa sayansi yetu ndogo ya kutengeneza mbege ukiweka line kwenye modem mtu akikupigia aioneshi ila anayekupigia atasikia inaita lakini akituma sms ndio utaiona
una hakika kweli? mbona mi naona kila kitu ....nina phonebook hapa...missed call received natuma sms kila kitu mkuu...upo na mchina nini?
kumbe umeni-block? maana siku hizi nikikubip haiendi.......Unatumia simu gani? Kama smartphone ni rahisi