Huwezi kueleweka...hujasema ni kubleed kwa mwanamke hedhi au?; kama ni mwanamke hedhi...kupitiliza idadi ya siku za kubleed?; kiasi cha damu ianyotoka?; both?; inaandamana na maumivu ya tumbo la chini, kutoka mabonge ya damu?; inaendana na muda wa hedhi au shaghala baghala; ultrasound ulienda hospitali ukashauriwa kufanya au uliamua mwenyewe tu?; ilianza lini, ina muda gani mpaka sasa? etc...hujaseam unahitaji msaada au unatoa taarifa kama feedback ladba ulishuriwa hivyo...elaborate kidogo dada/kaka (jina la kiume).
Lakini kwa kifupi hivyo labda mpiga ramli tu ndio anaweza jua una tatizo gani na unahitaji msaada gani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.