Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 7,505
- 12,611
Mimi naweka odds ya 1.1 stake 100k napata 10k kila siku kwahiyo nitazidishiwa..?
Mimi naweka odds ya 1.1 stake 100k napata 10k kila siku kwahiyo nitazidishiwa..?
Uzinzi ni nini..?kubeti ni kama uzinzi
Kabisahakuna mfia dini mwenye mafanikio
niliona familia moja wote wanabeti kuanzia baba hadi mama na watoto wao. Ujinga mtupuKuna afisa ubashiri aliwahi kuleta kifungu cha biblia kinasema tafuteni pesa hata kwa kubashiri.
Kifungu chenyewe nimesahau.
Mkuu unasema kwenye riba hakuna hasara upo serious kweli ??Kuna kitu kinaitwa factors of production (Nyenzo za uzalishaji mali). Theory of distribution/Price Indices.
Kila nyezo ya uzalishaji mali ina ujira(reward)wake.
-Labour-(Salary/Wage)
-Land-(Rent)
-Capital-(Interest)
-Entrepreneur-(Profit/Loss)
Sasa kwa mtiririko huo tofauti ya riba na faida tutaibaini kwamba, huyo mjasiliamali(enterpreneur) sio mara zote anapata profit/faida, kuna muda ana incur loss/hasara, lakini kwa anaeweka Capital/mtaji ili apate interest (riba)yeye lazima apate faida yeye hanaga hasara, ila wa profit anaweza pata mara dufu ya kile alichoweka na wa interest yeye iko fixed kwa muda maalumu, kama ni 5000 kwa mwezi au kwa mwaka kiasi ni kilekile hakipungui wala kuzidi(fixed percentage over time).
Ni familia yangu hiyo mkuuniliona familia moja wote wanabeti kuanzia baba hadi mama na watoto wao. Ujinga mtupu
Well said mkuu naunga mkonoYaani watu wa dini wanapenda kuamka na kujitungia dhambi kisa wao hawafanyi...we kama hupendezwi na kitu usifanye...Mungu ni WA kwako sio wa wote...unasema Mara riba Mara kuchuma Mara Nini...bac stock exchange speculation ni dhambi, bac forex ni dhambi, bac mikopo ni dhambi, biashara ni dhambi... kwanza hamna evidence ya bible au Quran iliyosema kubeti ni dhambi kwa sababu waliotunga hivyo vitabu hawakujua future kutakuwa na michezo hio...na hata kungekuwa na vifungu bado haiprove chochote... coz ni watu tu waliandika na kupachika " Mungu kasema" coz wamekosa sababu za msingi kujustify their claims so Wanatumia Vitisho.
I hope nimejibu swali
Weka nukuu kutoka katika vitabu vitakatifu na sio kutoka katika hisia zakoNi dhambi, hiyo ni kamari
hisia zangu? Walevi wa kubeti mnajua hakuna mistari ya kupinga kubeti, ipo ya kutoshaWeka nukuu kutoka katika vitabu vitakatifu na sio kutoka katika hisia zako
Mimi huwa sibeti na sijawahi kubeti, ila tunapoongelea dhambi, tunaongelea makatazo kutoka kwenye vitabu vitakatifu.hisia zangu? Walevi wa kubeti mnajua hakuna mistari ya kupinga kubeti, ipo ya kutosha
So Mungu hataki fixed income au sio..😂Kuna kitu kinaitwa factors of production (Nyenzo za uzalishaji mali). Theory of distribution/Price Indices.
Kila nyezo ya uzalishaji mali ina ujira(reward)wake.
-Labour-(Salary/Wage)
-Land-(Rent)
-Capital-(Interest)
-Entrepreneur-(Profit/Loss)
Sasa kwa mtiririko huo tofauti ya riba na faida tutaibaini kwamba, huyo mjasiliamali(enterpreneur) sio mara zote anapata profit/faida, kuna muda ana incur loss/hasara, lakini kwa anaeweka Capital/mtaji ili apate interest (riba)yeye lazima apate faida yeye hanaga hasara, ila wa profit anaweza pata mara dufu ya kile alichoweka na wa interest yeye iko fixed kwa muda maalumu, kama ni 5000 kwa mwezi au kwa mwaka kiasi ni kilekile hakipungui wala kuzidi(fixed percentage over time).
AsanteWell said mkuu naunga mkono
unadhani mashoga hawamwamini Mungu?We mtu Akiwa shoga nini kinabadilika katika maisha yako, same as betting, hawavunji sheria, hii sio Afghanistan sio kila mtu anamuamini Mungu wako wa kiarabu... heshimu mipaka ya watu
unaona sasa jinsi unavyotafuta uhalali wa kubeti kama ni haki yako na sio dhambi?Kwa kukosa maarifa 🤣🤣🤣 marifa yakowapi?tupe eleza dhambi inatoka wapi ?Wewe hapo usipobeti huwezi ukakizi mahitaji yako ya kila siku.
Ushoga kwenye vitabu vya dini umekatazwa. Kubet kumekatazwa wapi?proof ya nini tena?
Mashoga wanatafuta uhalali kwamba wanachofanya ni haki yao na ni halali haina shida kabisa....
Wabetiji nao ni hivyo hivyo...
Ndio maana kuna wanaoona ni sawa na kuna wanao ona si sawa...
Akili za kuambiwa changanya na zako...
Andiko hili la kur'ani linasema kamari ni uchafu, jiepusheni ili kufanikiwa kwenye maisha91 -92
Hujajibu swali languunadhani mashoga hawamwamini Mungu?
Kidogo kidogo ni kiasi gani?