MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 7,986
- 6,252
Leo ndo mnajifanya kumtambua, ni mara ngapi matukio kama haya yamefanyika na wabunge wa maeneo husika wakiwepo ila kwa sababu tu ni wapinzani wamekuwa wakipuuzwa na kuwekwa kando kabisa tena ikiwemo na kupigwa mipasho na vijembe kibao sasa leo nini kimetokea??
Kubenea anafahamu unafiki wao ndo maana hakujisumbua.
Kubenea anafahamu unafiki wao ndo maana hakujisumbua.