Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni.
Kubenea alimwagiwa tindikali na kuathiri macho yake na amekua akipata matibabu nchini India.
Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni.
Kubenea alimwagiwa tindikali na kuathiri macho yake na amekua akipata matibabu nchini India.
sAFARI NJEMA SHUJAA WA KWELIMwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni.
Kubenea alimwagiwa tindikali na kuathiri macho yake na amekua akipata matibabu nchini India.
Why i feel something is quite right with this...
Monduli is not your average fighter!
Unachomaanisha ndicho ninachokifikiri?
Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni. Katika safari hiyo ameambatana na mapacha wawili EL na RA.
Kubenea alimwagiwa tindikali na kuathiri macho yake na amekua akipata matibabu nchini India.
Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni.
Wana JF nimelazimika kupost thread mpya kabisa ili niweze kueleza ukweli juu ya thread hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...m-yatimia-kubenea-atiwa-mfukoni-hatimaye.html.
Nililazimika kupiga simu gazeti la Mwanahalisi na simu yangu kupokelewa na mtu anayeitwa Yusuph Abudu - Afisa Tawala wa gazeti hilo na kisheria anayo power ya kuisemea kampuni hiyo. Ilibidi nimsomee thread yote na yeye kuanza kunijibu kashfa moja baada ya nyingine.
Kwanza ameanza kwa kukanusha kwamba si Kubenea wala Hali Halisi Publishers Co. Ltd kuwa imetiwa mfukoni na fisadi yoyote licha ya Rostam ambaye ametajwa katika thread hiyo kwa sababu zifuatazo:-
.
- Hakuna mtambo unauzwa 20ml kama alivyodai kamaudoulton. Mitambo ya kuchapisha magazeti ina thamani zaidi ya hiyo!
- Hali Halisi ina mitambo yake tayari na imenunua kutoka kampuni ya IPP iliyo chini ya Mengi na tayari wameshalipa DOWN PAYMENT. . Mitambo hiyo ilikuwa inatumika na kampuni ya IPP lakini saizi hawaitumii tena mara baada ya kununua mipya.
Gamba jipya hiyo post uliyo quote si ile original ya Halisi (post#1) inawezekana umeongeza maneno kwenye red, kama umeongeza ni kosa kubwa sana kwa JF kubadili maneno ya post ya mwingine unaweza kula hata ban, kama ni kweli yafute au umwombe radhi Halisi kama hakukuruhusu kubadili.Duh, mpaka ifike 2015 atakuwa na Radio na Tv
Originally Posted by Halisi
Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni. Katika safari hiyo ameambatana na mapacha wawili EL na RA.
Kubenea alimwagiwa tindikali na kuathiri macho yake na amekua akipata matibabu nchini India.
Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni.
Kubenea alimwagiwa tindikali na kuathiri macho yake na amekua akipata matibabu nchini India.
Gamba jipya wombe radhi Halisi kama hakukuruhusu kubadili
Kama kweli kafanya hivyo ni mbaya sana... hata mi nilipoona quote yake, na kwajinsi ninavyomfahamu Halisi, nikadhani kwua ameedit out hiyo sehemu lakini post yake haionyeshi kuwa it has been editedGamba jipya hiyo post uliyo quote si ile original ya Halisi (post#1) inawezekana umeongeza maneno kwenye red, kama umeongeza ni kosa kubwa sana kwa JF kubadili maneno ya post ya mwingine unaweza kula hata ban, kama ni kweli yafute au umwombe radhi Halisi kama hakukuruhusu kubadili.
Hii ndiyo post original ya Halisi
Kwenye vyombo vyetu vya habari tuna tatizo kubwa kuliko tunavyofikiria.Vyombo vya habari vinaweza kuchangia katika kuua Democracy.
Kama kweli kafanya hivyo ni mbaya sana... hata mi nilipoona quote yake, na kwajinsi ninavyomfahamu Halisi, nikadhani kwua ameedit out hiyo sehemu lakini post yake haionyeshi kuwa it has been edited