Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Wanatakiwa kwanza wawalipe watu fidia ila tatizo watafanyaje valuation ila hali teyari nyumba zimebomolewa.Kwa hiyo kuna nafasi tena huko mbeleni kuuzindua mradi .........!!
Wenye nyumba, wajane watoto kwa mtazamo wako ni vibarakaAma kweli nchi hii kuna majitu ya ajabu sana. Kwa hiyo kama wamesitisha ndio furaha kwenu!! Kwani hizi barabara zinatumiwa na Wanachama wa CCM tu!? VIBARAKA ni watu hatari sana katika Taifa.
No chanceKuwaonyesha MAGUFULI ayumbishwina hii SO CALLED BANK YA DUNIA kwenye hili la KIMARA....HII barabara anajenga kwa pesa za hapa hapa ndani......Au atatumia any means away from BANK YA DUNIA NA BARABARA ANAIJENGA.....
Sheria ya Road Reserve inasemaje? Nchi inaongozwa na taratibu za Sheria na kanuni. Kuwa mjane haikupi clean pass ya kuvunja sheria na taratibu za nchi. After all bomoabomoa imepita sehemu nyingi na sio Kimara tu. Au kwa kuwa eneo husika ni kambi ya Wanaharakati?Wenye nyumba, wajane watoto kwa mtazamo wako ni vibaraka
Wapi nimeonyesa hiyo furaha?Mbona unaleta propaganda za kijinga?Ama kweli nchi hii kuna majitu ya ajabu sana. Kwa hiyo kama wamesitisha ndio furaha kwenu!! Kwani hizi barabara zinatumiwa na Wanachama wa CCM tu!? VIBARAKA ni watu hatari sana katika Taifa.
Better were colonial days!Kuwaonyesha MAGUFULI ayumbishwina hii SO CALLED BANK YA DUNIA kwenye hili la KIMARA....HII barabara anajenga kwa pesa za hapa hapa ndani......Au atatumia any means away from BANK YA DUNIA NA BARABARA ANAIJENGA.....
SERIKALI haiwezi kuwafanyia unyama wanachi wake kama kweli wangekuwa wanastahili kulipwa wangelipwa tu...HAWA WAANACHI WA KIMARA HILI SUALA WANALIGEUZA LA KISIASA wanaficha ukweli juu ya uhalali wa haya malalmiko yao ya FIDIA.......PESA MLIISHA LIPWA acheni kutumika na hawa WANASIASA WA CHADEMA wanalitumia hili jambo kama kichaka chao cha kuonyesha wanajali sana wananchi....KUMBE NI UZUZU TU NA UKIZINGATIA SIKU HIZI HAYANA HOJA.......BHASI HILI LA KIMARA LAZIMA IWE MBELEKO
ww ndio unaleta siasa. Haujui ht suala la road reserve waliolipwa ni wale walikutwa kwny mita 60 za mwanzo. Baada ya hapo..tathmini ilifanyika na watu wakaahidiwa kulipwa, lakin cha ajabu bomoa bomoa imefanyika na serikali inajitetea ya kua haijafanya tathmini. Lazima wananchi wapate haki zao no matter what! Asante kwa World Bank kwa kuliona hilo.Kuwaonyesha MAGUFULI ayumbishwina hii SO CALLED BANK YA DUNIA kwenye hili la KIMARA....HII barabara anajenga kwa pesa za hapa hapa ndani......Au atatumia any means away from BANK YA DUNIA NA BARABARA ANAIJENGA.....
SERIKALI haiwezi kuwafanyia unyama wanachi wake kama kweli wangekuwa wanastahili kulipwa wangelipwa tu...HAWA WAANACHI WA KIMARA HILI SUALA WANALIGEUZA LA KISIASA wanaficha ukweli juu ya uhalali wa haya malalmiko yao ya FIDIA.......PESA MLIISHA LIPWA acheni kutumika na hawa WANASIASA WA CHADEMA wanalitumia hili jambo kama kichaka chao cha kuonyesha wanajali sana wananchi....KUMBE NI UZUZU TU
Wee Mwanamke ongea kwa staha..Kuwaonyesha MAGUFULI ayumbishwina hii SO CALLED BANK YA DUNIA kwenye hili la KIMARA....HII barabara anajenga kwa pesa za hapa hapa ndani......Au atatumia any means away from BANK YA DUNIA NA BARABARA ANAIJENGA.....
SERIKALI haiwezi kuwafanyia unyama wanachi wake kama kweli wangekuwa wanastahili kulipwa wangelipwa tu...HAWA WAANACHI WA KIMARA HILI SUALA WANALIGEUZA LA KISIASA wanaficha ukweli juu ya uhalali wa haya malalmiko yao ya FIDIA.......PESA MLIISHA LIPWA acheni kutumika na hawa WANASIASA WA CHADEMA wanalitumia hili jambo kama kichaka chao cha kuonyesha wanajali sana wananchi....KUMBE NI UZUZU TU NA UKIZINGATIA SIKU HIZI HAYANA HOJA.......BHASI HILI LA KIMARA LAZIMA IWE MBELEKO
Kwa wanaijua haki za binadamu, uhai/thamani yake ni kubwa kuliko mali na ardhi zote za nchi ya marekani bila watu.Ama kweli nchi hii kuna majitu ya ajabu sana. Kwa hiyo kama wamesitisha ndio furaha kwenu!! Kwani hizi barabara zinatumiwa na Wanachama wa CCM tu!? VIBARAKA ni watu hatari sana katika Taifa.
Ama kweli nchi hii kuna majitu ya ajabu sana. Kwa hiyo kama wamesitisha ndio furaha kwenu!! Kwani hizi barabara zinatumiwa na Wanachama wa CCM tu!? VIBARAKA ni watu hatari sana katika Taifa.
Mkuu, watu wa Mwanza pia walishalipwa na wamevamia makazi ya jeshi, na uwanja wa ndege ila wao walisamehewa.Kuwaonyesha MAGUFULI ayumbishwina hii SO CALLED BANK YA DUNIA kwenye hili la KIMARA....HII barabara anajenga kwa pesa za hapa hapa ndani......Au atatumia any means away from BANK YA DUNIA NA BARABARA ANAIJENGA.....
SERIKALI haiwezi kuwafanyia unyama wanachi wake kama kweli wangekuwa wanastahili kulipwa wangelipwa tu...HAWA WAANACHI WA KIMARA HILI SUALA WANALIGEUZA LA KISIASA wanaficha ukweli juu ya uhalali wa haya malalmiko yao ya FIDIA.......PESA MLIISHA LIPWA acheni kutumika na hawa WANASIASA WA CHADEMA wanalitumia hili jambo kama kichaka chao cha kuonyesha wanajali sana wananchi....KUMBE NI UZUZU TU NA UKIZINGATIA SIKU HIZI HAYANA HOJA.......BHASI HILI LA KIMARA LAZIMA IWE MBELEKO
Poor you watu wakalipwe kwanza stahiki zao.Wananajua watadhumiwaAma kweli nchi hii kuna majitu ya ajabu sana. Kwa hiyo kama wamesitisha ndio furaha kwenu!! Kwani hizi barabara zinatumiwa na Wanachama wa CCM tu!? VIBARAKA ni watu hatari sana katika Taifa.
Afterall tayari ana 1.5T kibindoni. Kwanini asijenge?Kuwaonyesha MAGUFULI ayumbishwina hii SO CALLED BANK YA DUNIA kwenye hili la KIMARA....HII barabara anajenga kwa pesa za hapa hapa ndani......Au atatumia any means away from BANK YA DUNIA NA BARABARA ANAIJENGA.....
SERIKALI haiwezi kuwafanyia unyama wanachi wake kama kweli wangekuwa wanastahili kulipwa wangelipwa tu...HAWA WAANACHI WA KIMARA HILI SUALA WANALIGEUZA LA KISIASA wanaficha ukweli juu ya uhalali wa haya malalmiko yao ya FIDIA.......PESA MLIISHA LIPWA acheni kutumika na hawa WANASIASA WA CHADEMA wanalitumia hili jambo kama kichaka chao cha kuonyesha wanajali sana wananchi....KUMBE NI UZUZU TU NA UKIZINGATIA SIKU HIZI HAYANA HOJA.......BHASI HILI LA KIMARA LAZIMA IWE MBELEKO
Kwahiyo baba yako mzazi akifariki mtu akikupa taarifa mtu huyo atakuwa amefurahi? au ndie mchawi wake? mbona mnajitoa ufahamu kiasi hicho?Ama kweli nchi hii kuna majitu ya ajabu sana. Kwa hiyo kama wamesitisha ndio furaha kwenu!! Kwani hizi barabara zinatumiwa na Wanachama wa CCM tu!? VIBARAKA ni watu hatari sana katika Taifa.
I bet nyumba yako ingekuwa ni moja ya zilizobomolewa na ukijua kabisa unastahili fidia usingeongea hayaAma kweli nchi hii kuna majitu ya ajabu sana. Kwa hiyo kama wamesitisha ndio furaha kwenu!! Kwani hizi barabara zinatumiwa na Wanachama wa CCM tu!? VIBARAKA ni watu hatari sana katika Taifa.