Kilaza wa elimu ya hapa na pale naye kamkomalia kilaza mwenzie. Inavyoonekana hii vita ya Bashite ndo imegeuka ajenda kuu ya CHADEMA kwa sababu hata Lissu naye kaivalia njuga. Nayo itapita na tukio lingine litakuja. Kuendesha chama bila core philosophy na long term strategies ni ngumu sana; na inavyoonekana kupata ajenda mbadala wa vita dhidi ya ufisadi (aka Lowasa) imeshindikana. Sad!