Kubenea azidi kumkalia kooni Bashite

Hata mwenye elimu ya hapa na pale nae anahoji vyeti vya Makonda.Binadamu wepesi sana kujisahau
Hapa na pale sio forgery ni mfumo halali. Wapo watu ni maprofesa wazuri lakini kwa kupitia mfumo wa hapa na pale.
Kubenea ni mpambanaji ndio maana hata kwa elimu ya hapa na pale bila kufoji chochote amefikia hapo alipo. Wangapi na elimu yao ya straight wanazunguka na bahasha ya vyeti mpaka wanachanganyikiwa bila kufanikiwa?
Nawapenda sana vijana wenye courage kama Kubenea
 
Kubenea hana macho,akipoteza na masikio itakuwaje!Shauri yake.
 
Bashite ni nani?? Watasema wakichoka watalala!!

2020 kuna baadhi ya Wabunge hawatarudi Bungeni kwa sababu wameacha kufanya mambo ya msingi kuhusu majimbo yao wamebaki na habari za Gwajima na Mange!

Ungejua hana hata confidence ya kazi! Aibu yenu!!!!!
 
Ila alishindwa kukalia kooni habari za Ben alizoanza kuzichambua
Mwisho nikahitimisha alipo Mkuu Ben Chadema&C.C.M watakuwa wanajua tu.


Ndo maana muamko wa kushikiza serikali imlete Mkuu Ben Mfu au Hai ni ndogo.
 
Kilaza wa elimu ya hapa na pale naye kamkomalia kilaza mwenzie. Inavyoonekana hii vita ya Bashite ndo imegeuka ajenda kuu ya CHADEMA kwa sababu hata Lissu naye kaivalia njuga. Nayo itapita na tukio lingine litakuja. Kuendesha chama bila core philosophy na long term strategies ni ngumu sana; na inavyoonekana kupata ajenda mbadala wa vita dhidi ya ufisadi (aka Lowasa) imeshindikana. Sad!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…