Kubenea aibua Ufisadi wa Billion 1.2

Kubenea aibua Ufisadi wa Billion 1.2

Huyo Kubenea atakuja na hoja gani wkt chama chake kilimpokea fisadi ili awafikishe IKULU? kwasasa hakuna mtanzania atakaye wasikiliza hao, tumeamini alichosema Dr Slaaa,
 
Kubenea huyuhuyu aliyemnyima Edo Urais kwa kumkashifu. Alipooana anambeba yy akajaribu kumsafisha. Kashindwa.
 
Chama chake kubenea ndo kilikuwa mstar wa mbele kufichua mafisadi ndani ya nchi hii, watanzania tukakipenda, lkn cha kushangaza mtu waliyemsema kuwa ni fisadi na kupiga kelele bungeni kwa kwa kumsuta kwa vidole vyao leo ndo wanaishi naye ndani ya chama chao! Ss watujibu walichokisema khs huyo mtu kama walikurupuka au ndo hivyo funika kombe mwana haramu apite? hatuna imani nao tena.
 
Alikamatwa na kushtakiwa lini?

Lowassa alishtakiwa na kuhukumiwa kwa makosa ya ufisadi katika mahakama tatu tofauti
Kwanza bungeni ambapo wabunge kwa kauli moja walimtia hatiani na kumfukuza Uwaziri mkuu (kwa kumhurumia wakamwambia aandike barua ya kujiuzulu ili apate mafao). Mahakama ya pili ni ya kamati ya maadili ya CCM ambayo ilimwona hafai kugombea urais. Na mahakama ya mwisho ambayo ni funga kazi ni ya Watanzania wote ambapo wengi wao walimtosa kwenye urais baada ya kuwalaghai sana kiusanii ikiwa ni pamoja na kuwaahidi kuwafungulia kutoka gerezani watu waliohukumiwa kihalali. Kwa mtu mwenye uelewa mfupi atasema hao waliomhukumu sio mahakama. Kwa hao niseme tu wabaki kama walivyo ila sasa anatumikia adhabu
 
Lowassa alishtakiwa na kuhukumiwa kwa makosa ya ufisadi katika mahakama tatu tofauti
Kwanza bungeni ambapo wabunge kwa kauli moja walimtia hatiani na kumfukuza Uwaziri mkuu (kwa kumhurumia wakamwambia aandike barua ya kujiuzulu ili apate mafao). Mahakama ya pili ni ya kamati ya maadili ya CCM ambayo ilimwona hafai kugombea urais. Na mahakama ya mwisho ambayo ni funga kazi ni ya Watanzania wote ambapo wengi wao walimtosa kwenye urais baada ya kuwalaghai sana kiusanii ikiwa ni pamoja na kuwaahidi kuwafungulia kutoka gerezani watu waliohukumiwa kihalali. Kwa mtu mwenye uelewa mfupi atasema hao waliomhukumu sio mahakama. Kwa hao niseme tu wabaki kama walivyo ila sasa anatumikia adhabu
Nani kakudanganya kwamba watanzania wamemnyima kura lowassa ?
 
Hapa ni halmashauri moja tu, lakini inamaana mnyika hakuuona huu ufisadi kweli? sasa nimeamini ukawa ni wa hovyo kuliko tunavyodhania.

Ni mbunge wako yupi wa sisiem aliyekuwa ameuona huu uozo KENGE wewe!??.Uovyo wa UKAWA ni UPI hapo!!!?.
 
Back
Top Bottom