Kubenea aibua Ufisadi wa Billion 1.2

Kubenea aibua Ufisadi wa Billion 1.2

Hapa ni halmashauri moja tu, lakini inamaana mnyika hakuuona huu ufisadi kweli? sasa nimeamini ukawa ni wa hovyo kuliko tunavyodhania.

Inawezekana una akili nyingi hadi zinakupelekesha... Maana si vizuri kukwambia ukweli kwamba HUNA AKILI.
 
hizo ni mbwembwe tu za kubenea. amemsafisha mwizi mkuu lowasa anakimbilia ufuaji wa majoho..what a shame

Habari ndo hiyo sasa.. Kuna watu mmelipwa ili msielewe na muendelee kutoelewa hivyo hivyo..... cc tumeshachukua halmashauri na tunaenda kufuta huo upuuz
 
UKAWA ndiyo walikuwa wanatoa hizo hela za kufua hayo Majoho? Mbona Kikwete alishindwa kutoa hela za kutengenezea mashine za Muhimbili mpaka alipokuja Magufuli na hamkumuita Kikwete wa Hovyo kabisa?

Halafu kwani hiyo Halmashauri wakati inafanya huo ujinga ilikuwa chini ya UKAWA?

Asante sana.
 
Nampongeza kubenea kwa juhudi zake, ni mwanzo mzuri, ila hili la bodaboda kuingia mjini siliafiki, shida tunayopata huku mikoani kwa hawa jamaa ni kero tosha, na imagine kwa Dar itakua kero kubwa
 
Batilli bado unamkumbuka Dr Wilbrod Slaa? Wanachadema walishamfuta akilini mwao yaani ni sawa na marehemu tu. Mtafute akugawie pesa alizochota Lumbumba. Sisi tunasonga mbele pamoja na kutuulia Kamanda Alphonce Mawazo (RIP).
 
Inawezekana una akili nyingi hadi zinakupelekesha... Maana si vizuri kukwambia ukweli kwamba HUNA AKILI.

mie nimeuliza swali tu ina maana huu ufisadi Mnyika hakuuona? kebehi za nini sasa?
 
Huyu jamaa alishajivunjia heshima, hiyo kashfa angeitoa mnyika ningestuka kidogo but huyo kubenea ni mnafk tu
 
mie nimeuliza swali tu ina maana huu ufisadi Mnyika hakuuona? kebehi za nini sasa?

Unaposema ukawa ni wa hovyo ni swali?... Kweli una akili nyingi sana hata kutofautisha swali na statement ni shughuli.... That is a statement and not a qn usizuge.
 
Sasa wamekubali kushirikiana na serikali ya magufuli?
 
hizo ni mbwembwe tu za kubenea. amemsafisha mwizi mkuu lowasa anakimbilia ufuaji wa majoho..what a shame

Acha upuuzi ina magufuli alikuwa hayaoni ya muhimbili? Ukipata nafasi lazima uitumie! kubenea endelea kubana kila kona mpaka kieleweke!
 
Aanze na posho za makalio za wabunge, ufisadi ulio wazi unaolindwa kwa jina la sheria na taratibu, waache mbwembwe kama kweli wanachukia wizi na ubadhirifu wa mali za umma wafanye kitu kwenye posho zao za makalio, mengineyo ni siasa tu.
 
Back
Top Bottom