Kubenea aibua Ufisadi wa Billion 1.2

Kubenea aibua Ufisadi wa Billion 1.2

hizo ni mbwembwe tu za kubenea. amemsafisha mwizi mkuu lowasa anakimbilia ufuaji wa majoho..what a shame
Kuna haja sasa ya kubenea kupewa umeya wa jiji , anahitajika kuliko wakati wowote katika nchi hii .
 
Hapa ni halmashauri moja tu, lakini inamaana mnyika hakuuona huu ufisadi kweli? sasa nimeamini ukawa ni wa hovyo kuliko tunavyodhania.

Mnyika tulimpa sekta ya maji , huyu kubenea tumempa aangalie hela na mikataba yote ya jiji ikiwemo zabuni zote bila kusahau wale wachumia tumbo wanaotumwa kukamata bodaboda .
 
Naomba kuuliza swali;miaka ile ya "kupinga ufisadi" gazeti la mwanahalisi ilikuwa ni nadra kulikuta mezani masaa 24 baada ya kutoka,tofauti na "nyakati" hizi mwanahalisi au Mawio la wiki mbili zilizopita unalikuta mezani.{wazee wa ndimi mbili?}
 
Tatizi sio kuibua ufisadi mimi huyu jamaa aliwahi kukashifu sana lowasaa ila mwisho wa siku akaja kumsafisha mpinga ufisadi chadema ayupo tena

Kwa hiyo hata wewe hapa mtu akikupinga au kukushutumu ni dhambi kukubaliana na wewe tena kwa lolote??
 
ccm hawapendi habari kama hizi we angalia comment zao tu!



Naomba wadau tusihemuke. Ila tukubaliane mleta Uzi ni KADA wa chama Fulani. Kweli yaweza kuwa kashifa lakn atulizishe, majoho ni mangapi na yanahtaji umakin gani wakati wa kufua. Pia lin Kubenea kawa mbuge tena mbuge MACHACHARI. Tuhuma za nyuma za kumsema my. El tuziwekeni mbali. Nacho ona ni kuhemka wakati tunachangua huenda mada ni Muhimu.
 
Kuna haja sasa ya kubenea kupewa umeya wa jiji , anahitajika kuliko wakati wowote katika nchi hii .



Hapo ndipo napogundua shule za Kata zimekuwa na matokeo PINGIFU hata kwenye mambo ya maana
 
Hana tofauti na magufuli ,futa,ondoa ,simamisha ,achisha bado peleka korokoroni kwa maana jela ,nalisubiri hili kuanzia kwa magufuli ingawa limeanza huko tanga.
 
CHADEMA wamesema kwamba kipaumbele cha Watanzania sio kuupinga ufisadi bali ni kuiondoaCCM madarakani hata ikimaanisha kumuingiza shetani atawale badala ya CCM. Ndio maana ile list of shame ikaondolewa kwenye website ya CHADEMA na katika kampeni za Urais hakuna hata mtu mmoja wa CHADEMA aliyegusia ufisadi. Sasa kama wamebadilika watutangazie rasmi ili hata raia wema wakiona dili la kifisadi waweze kuwabonyeza wabunge wa upinzani. Sitashangaa hata kidogo huyu Said Kubenea baada ya siku au miezi kadhaa akaja kusema huu ufisadi aliozungumzia hauna ushahidi na hivyo kuomba msamaha.

Tatizi sio kuibua ufisadi mimi huyu jamaa aliwahi kukashifu sana lowasaa ila mwisho wa siku akaja kumsafisha mpinga ufisadi chadema ayupo tena
 
CHADEMA wamesema kwamba kipaumbele cha Watanzania sio kuupinga ufisadi bali ni kuiondoaCCM madarakani hata ikimaanisha kumuingiza shetani atawale badala ya CCM. Ndio maana ile list of shame ikaondolewa kwenye website ya CHADEMA na katika kampeni za Urais hakuna hata mtu mmoja wa CHADEMA aliyegusia ufisadi. Sasa kama wamebadilika watutangazie rasmi ili hata raia wema wakiona dili la kifisadi waweze kuwabonyeza wabunge wa upinzani. Sitashangaa hata kidogo huyu Said Kubenea baada ya siku au miezi kadhaa akaja kusema huu ufisadi aliozungumzia hauna ushahidi na hivyo kuomba msamaha.
Porojo kibao lakini hoja hakuna , yaleyale !
 
Mbunge machachari wa Ubungo Said Kubenea ameibua ufisadi wa bilioni 1.2 ambazo hutumika kwa ajili ya kufua majoho ya madiwani ktk Halmashauri za jiji.

========================



Chanzo: Magazetini
wataanza vibaya kwa kuweka siasa mbele kwenye mambo ya kitaalam. hao mama lishe na bodaboda wao wamejipendekeza kwao na haikulipa. wapo wataalam wa usafiri wa umma mijini pia wataaluma wa mipango miji kuhusu usafi etc. mmesema elimu elimu elimu sasa ukanjanja wa nini.
 
Hivi bado kuna watu wanamsikiliza mnafiki huyu!?
 
Tatizi sio kuibua ufisadi mimi huyu jamaa aliwahi kukashifu sana lowasaa ila mwisho wa siku akaja kumsafisha mpinga ufisadi chadema ayupo tena

Tatizo lenu ni kwakuwa aliyefichua ufisadi ni Kubenea wa UKAWA ndio maana mnaona hajafanya kitu angekuwa amefichua Magufuli mngekenua meno yote nje kama vichaa wanaoandaliwa kupelekwa milembe.

Lowassa mnaemsema kuwa alikashifiwa kwa ufisadi,mbona Lowassa alikuwa CCM hukohuko akiwa pamoja na Magufuli anayejifanya kuwa ana pambana na ufisadi kwanini hamukuweza kumchukulia hatua za kisheria mlipo kuwa pamoja? Kwani baada ya Lowassa kutuhumiwa kwa ufisadi aliyetakiwa kufuatilia tuhuma hizo ni serekali iliokuwepo madarakani na siyo Kubenea na CHADEMA ambao walitakiwa wahojiwe ili watoe ushahidi wa kuthibitisha jinsi Lowassa alivyo husika na ufisadi.
 
Hatuwezi kuwa kila hoja inayoletwa humu haifai eti kwa sababu imetoka upande furani wa shilingi.Ebu kama watanzania tuachane na ushabiki wa kisiasa na badala yake tujadili hoja zinazoletwa humu kwa masirahi mapana ya Tanzania bila kujali itikadi za vyama vyetu. Uchaguzi tayari umekwisha sasa ni wakati wa utekelezaji kile ambacho tuliahidiwa na wabunge wetu. Hivi mbunge kubaini ufujaji wa pesa ya umma ni dhambi? Je! kubaini huu wizi mkubwa katika alimashauri zetu ni lazima huyu mbunge atoke ule upande unaoupenda ndo utaona ni haki kuliko upande mwingine?

Watanzania wenzangu wote tunayo haki kulitetea taifa letu bila kujali hoja imetoka upande gani wa kisiasa. UKWERI UTAKUWEKA HURU
 
Kwa hiyo Majoho wa Mdee na Mnyika yalikuwa yanaoshwa kwa bilioni 1.2. lakini wakauchuna?
 
yaani bilioni 2.1 kwaajili ya kufua majoho
mh. Kubenea ur kidding bro.
 
Acheni majungu, apongezwe kwa kazi yake. Lowassa alijisafisha mwenyewe mbele ya kamati kuu ya Chadema na Slaa akiwepo.

Hakuna cha majungu kubenea ni mbabaishaji mtafuta rizki kwa sifa za kujipandikizia kama huyo bwana anayesema mbunge machachari heeee ndoto
 
Back
Top Bottom