ThePromise
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 210
- 48
Habari za jioni,nimekua nikisikia mara nyingi kuhusu kumuharibu mtoto anayenyonya(kubemenda).Naomba msaada wa elimu kuhusu hili suala,kwa watu wanaofahamu,inatokea vipi,na athari zake kwa ujumla.inshort nahitaji kujua A to Z ya hili suala,naomba kuwasilisha.