Kubadilishana kituo afisa ustawi wa jamii nitoke geita mjini kwenda nyamagana,ilemela,jiji mwanza

GDK

Member
Jan 23, 2013
40
8
Habari wanabodi.Natafuta mtu wa kubadilishana nae kituo,Afisa Ustawi wa Jamii kutoka Geita mjini na mimi niende Halmashauri ya Nyamagana,Ilemela au Jiji mwanza.Hii ni sababu muhimu sana za kifamilia.Mwenye nia hiyo anaweza kuni-PM!
 
Back
Top Bottom