Habari wanabodi.Natafuta mtu wa kubadilishana nae kituo,Afisa Ustawi wa Jamii kutoka Geita mjini na mimi niende Halmashauri ya Nyamagana,Ilemela au Jiji mwanza.Hii ni sababu muhimu sana za kifamilia.Mwenye nia hiyo anaweza kuni-PM!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.