Mr.creative
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 492
- 117
Nilianza kazi tar 2-3-2012 mazingira niliyopangwa kufanyia kazi ni mazuri ila kuna memba mmmja wa staff yetu anatabia ya kuwapaka wafanyakazi wenzake matope halafu hutoa siri za wenzake katika jamii inayotuzunguka kama vile kiwango cha mshahara unaoupata,kiwango chako cha elimu n.k hivyo basi kutokana mazingira hayo nashindwa kufanya kazi kwa kwa amani na kwa ufanisi je kisheria ninaruhusiwa kuomba kubadilishiwa kituo cha kazi? Nawasilisha!