Inalalamikiwa kwa ubovu au ulaji wa mafuta. Maana hiyo imefungwa kwenye RAV4 Miss Tanzania,Harrier Old Model ya mwaka 2000,2001 na 2002 na Harrier New Model(kwa Kitanzania ni kuanzia mwaka 2003 a.k.a tako la Nyani), imefungwa kwenye Alphard nk. Je hizo gari wanasema zina shida gani?