Kubabatiza Maana yake ni nini?

Kubabatiza Maana yake ni nini?

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,792
Reaction score
24,386
Ninapowasikia watangazaji wa mpira mara kadhaa husema mpira umebabatiza. Maana yake hasa ni nini?
 
Screenshot_20250927_232829_Chrome.jpg

Nadhani huu ndio mzizi wa neno, ila maana wanayoitumia watangazaji ni pale mchezaji anapobabaika kuucheza mpira kutokana na kupewa vibaya (pasi mbovu) au hesabu za kuucheza zinapofeli.
 
Dah kweli mkuu,
nahisi hili neno halipo kwenye kamusi.Ni kama kumfanya opponent atoe mpira nje bila ridhaa yake,ili wewe player uweze kufaidika na deadball hasa corner kick na mipira ya kurusha.
 
Wanamaanisha mpira kumgonga mchezaji na kwenda kwenye mwelekeo usiokusudiwa.
 
Back
Top Bottom