Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Nasubiria matusi na kejeli kwa wale wote wanaohoji kuhusu kuteuliwa kwa katibu wa bunge.
Sitaki hata kumsikia bora nipo mbali
Utameza tu utake usitake
Wape wape vidonge vyao wakipenda wasipende wape tu
Mtazinywa tu kama mlizoea kununuliwa safari hiii hata kwa bure hamtakiwi
Mkomeee
Mjifunze
Na mjirekebisheee
Yaaaani naahaaam nizidi kuendelea kukuchamba weweeeee,,!!?
Sema tu namheshimu mleta huu Uzi
Nisimharibie uzi wake
Lkn ngekuchambaaa haasaaa weweeee mwenye kutembea kama umesahau chenchi kwenye daladala
Sitaki hata kumsikia bora nipo mbali
Tupo pamojaWacha msingi mimi hadi FOUNDATION tena iliomiminwa kwa ZEGE
MIMI NALIKUBALI SAANA HILI JEMBE
Leo KILA MTU ANASUBIRIA NINI PRESIDAA ATASEMA
Yaani LIMERUDISHA HESHMA NCHINI KINOOOMAAAAAAA,,,,!!!!hilo tukubali tusikubali....
Walishabikia wa kenya ooooohhh democracy ooohhh wao wamesoma wameeendelea,,leeoooo wanachinjana
Manina
BABA JESKA HATUKUWAHI HATA KUOTA KATIKA NDOTO ZETU KUA JWTZ LEO WATAPEWA TENDA YA UKANDARASI WAITUMIKIE NCHI YAO KWA JASHO HUKU WAKILIPWA...
Hakuna mtz aliwaza hilo
PIGA KAZI BABA JESKA TUPOOOOOOOO NYUMA YAKOOO
Hata mimi nina shauku ya kumsikia Jemedali Magufuli, Mawaziri, Manaibu
Pamoja na Katibu mpya wa Bunge
hakutoa na kubahatisha ujauzito ?Alishasema huko kwenu katongozwa na zaidi ya makamanda kumi akiwemo Mbowe. Na Lissu. Yaani CDM imekaa kiumalaya tu, loooh.