Zanzibar: Rais Mwinyi apangua Baraza la Mawaziri, aingiza wanne wapya

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,245
24,108
08 March 2022

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi leo amepangua Baraza la Mawaziri. Ateua mawaziri 4 wapya na wanane wamebadilishwa vituo vya kazi. Pia kwa katika baraza lake, mheshimiwa Rais wa Zanzibar Dr. Hussein Mwinyi ameteuwa kwa mara ya kwanza mawaziri wadogo saba katika serikali yake .
20220308_220226.jpg
20220308_220230.jpg
20220308_220456.jpg

 
Mh. Engineer Zena A. Said katibu wa baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu kiongozi akisoma majina ya baraza la mawaziri la SMZ

 
Kuna Wakristo wengi tuuu
Kumbe ndio mtindo huu haya tuendeleee
Mwl alisema udini mbaya
 
Back
Top Bottom