Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Naomba nieleweshwe namna mifuko ya elimu za wilaya au mikoa zinavyo fanya kazi na kama mtu binafsi anaweza kuanzisha mfuko kama huo kwa jamii ndogo zaidi na uendeshaji wake unakuaje.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa kwa wana JF kwa mchango wenu wa mawazo.
Ahsanteni sana
Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa kwa wana JF kwa mchango wenu wa mawazo.
Ahsanteni sana