"From Padri (uliyevunja ubikra wake akiwa padri na kuzaa na mwanamke) to mbunge to mgombea urais = hatua ya juu sana ya mafanikio kisiasa"
"Kweli kafikambali kupora mkewamtu nakumnadi hazarani kweli huyu ni mwanasiasa lakini sawa hikichama cha mbr man watu wakujirusha "
Poleni saaana vibaraka wa mafisadi
Wenzenu wa Daily News, Habari Leo, Uhuru, Mzalendo, Mtanzania na Rai wamekubali yaishe baada ya kutishiwa na chui wa karatasi... eti hizo nyumba za vioo wanazokaa zitapigwa mawe....sasa hivi haoooo wameingia mitini..... Hivi tukiweka za JK hadharani hamtapofuka macho??? Anyway...wa-tz wa zama hizi sio wa type zenu za kindondocha...... Endeleeni Kufukuza upepo na ukibaraka wenu!!!!