Kuanzia leo nasimamisha !

Kichwa cha habari kimenishtua asee nikasema hee shem wangu yamemkuta yapi. Kumbe ni ishu ya wamasai kweli hata mi sijashuhudia ila maiti nimeona ya mmasai sbbu ya kazi yangu

Kule mkufikiriapo nyie ni ku d ndisha !
 
duuu simamisha tu mkuu hata mm sijawahi kuona
 
Heee heee baba na niii,
mbona hausemi ukweli,
na huyu je
 
Hiyo ya kusimamisha nayo ina kautata fulani;
Ukisimamisha italazwa wapi.
 
Karibu Arusha kila cku wamasai wanazikana huku.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…