Kuamini kuwa uko pekeyako kwa mwenzako

Kuamini kuwa uko pekeyako kwa mwenzako

dalalitz

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2013
Posts
3,475
Reaction score
2,078
Wanadamu tunajifariji sana kwenye mahusiano. Umefahamiana nae akiwa mkubwa tu mkapendana, mkaaminiana basi unabwaga manyanga na kuona kuwa ni muaminifu na hawezi kukusaliti.

Labda kama upo kwenye uhusiano na malaika pekee. Vinginevyo unajidanganya;

TAFAKARI
 
Mmmh, dizain kauzi kanakatisha tamaa kidogo... Anyway kuona ni kuamini, kama sijambamba na skendo yeyote ile, why should I bother. Mi naamini nipo peke yangu.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Umejumuisha sana mkuu!?!? Kama yamekukuta ww kwa wenzako haiwezi kua ivyo ivyo. Kuna waaminifu saaana na micharuko sana tu
 
Atleast inasaidia kupunguza mawazo na kujiona inferior..
 
kila mtu anahaki ya kuishi na kuamini hakika wapo wanaoamini wapo pekee yao na pia wapo ambao hawaamin hcho kitu hvyo nikila haki ya mtu kufwata kile anacho amini usihishi kwa kutumia hisia za mtu ishi ww ka ww.
 
Ni mtizamo tu!

Hauwezi kufanikiwa kama always unakuwa na negative ideas eti kisa umemwona fulani ama imekutokea basi unajaribu kufanya generalization ..mbona mie ninaye mmoja na maisha yanaenda na yeye analielewa hilo?

We kama malaya malaya tu hata kumi hawatakutosha yet!
 
Naomba kuondoa shilingi kwa mtoa mada,
It is too healthy kuamini kua upo peke yako ndani ya mahusiano kwa huyo uliyenaye.If n only if huna mpango wa kutengana naye karibuni.

It is more than healthy kwa huyo uliyenaye to make sure unaamini upo peke yako kwa njia yeyote aijuaye yeye hata kama sio kweli hope team Bazazi wanaweza elezea hili vizuri

Mapenzi raha jamani, jiachieni muenjoy ukianza huyu anacheat hata kwa hisia unaondoa utam wote,raha jipe mwenyewe
 
Mkuu mm nipo peke yangu...ukianza kuamini haupo peke yako ina maana huna uaminifu kwa mwenzio au ww mwnyw hujiamini.
 
Ni asilimia kubwa ya watu wamekosa uaminifu ila kikubwa jiamini kwanza mwenyewe sababu hata mimi nimeoa kwa sasa ila ningefuata maneno ya watu ningepoteza kitu cha thaman nilichomkuta nacho mke wangu(bikra)
 
Mmmh, dizain kauzi kanakatisha tamaa kidogo... Anyway kuona ni kuamini, kama sijambamba na skendo yeyote ile, why should I bother. Mi naamini nipo peke yangu.


Sent from my iPhone using JamiiForums app

hata ukimbamba kama atajieleza amini kua alifatwa, alizidiwa nguvu au haikua amri yake azawise u r only one
 
Naomba kuondoa shilingi kwa mtoa mada,
It is too healthy kuamini kua upo peke yako ndani ya mahusiano kwa huyo uliyenaye.If n only if huna mpango wa kutengana naye karibuni.

It is more than healthy kwa huyo uliyenaye to make sure unaamini upo peke yako kwa njia yeyote aijuaye yeye hata kama sio kweli hope team Bazazi wanaweza elezea hili vizuri

Mapenzi raha jamani, jiachieni muenjoy ukianza huyu anacheat hata kwa hisia unaondoa utam wote,raha jipe mwenyewe
Very true..
 
Ni mtizamo tu!

Hauwezi kufanikiwa kama always unakuwa na negative ideas eti kisa umemwona fulani ama imekutokea basi unajaribu kufanya generalization ..mbona mie ninaye mmoja na maisha yanaenda na yeye analielewa hilo?

We kama malaya malaya tu hata kumi hawatakutosha yet!

hahahahaaaa! Kijanaaa!.
Siku ukijakujionea live anapomegwa ndipo mlipuko wa moyo utakapokukumba....
..........never ever trust any women............
 
Ni kuishi tu kwa imani kama unavyoamini dini yako au mungu bila hivyo dhana mausiano itakufa tu
Wa kumwamini ni mungu tu
 
Back
Top Bottom