Mfumo wa elimu ya Tanzania hauna faida yoyote katika karne hii kwa sababu haiwezekani kumfundisha mtoto utaratibu wa kutegemea kuajiriwa kwa 100%. Kwani mfumo huo humfanya mtu anapomaliza masomo yake na asipoajiriwa huwa hana plan B Katika ubongo wake wakujua kipi afanye.Na watu wenye akili zetu tuliishia darasa la saba.
Hawa ndio matajiri kumi duniani walioripotiwa na mtandao wa FORBES hivi karibuni hakuna hata moja ambaye ameajiriwa.
1,BILL GATES ($79.2bn) microsoft
2,CARLOS SLIM HALU
($77.1bn) mfanyabiashara mexico
3,WARREN BUFFET
($72.7bn) mfanyabiashara
4,AMANCIO ORTEGA
($64.5bn)maduka ya nguo ya zara
5, LARRY ELLSION
($54.3bn) tekinolojia ya oracle
6, CHARLES KOCH
($42.9bn) mfanyabiashara
7, DAVID KOCH
($45.7bn) mfanyabiashara
8, CHRISTY WALTON
($41.7bn)mumiliki wa mauka ya walmart
9, JIM WALTON
($40.6bn) maduka ya walmart
10, JIM BETTENCOURT
($40.1bn)mfanyabiasha ya vipondozi vya L'oreal
Forbes:Bill Gates ni tajiri zaidi duniani - BBC Swahili