and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,103
1. Wale wote wanataka kuagiza magari nje ya nchi mwaka ujao wa fedha wajipange maana Dr wa Uchumi (PhD) First class ameongeza tozo ya kuchangia ujenzi/maendeleo ya reli (1.5% mpaka 2.0% ya CIF) katika kodi utakazolipia.
2. Usiseme hukuambiwa, watu wanataka kununua majumba Dubai na kuongeza Yutong (Dar-Kiomboi). Esta-blish Express!
2. Usiseme hukuambiwa, watu wanataka kununua majumba Dubai na kuongeza Yutong (Dar-Kiomboi). Esta-blish Express!