Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 1,988
- 1,175
Habari wana JF.
Naomba kupata Mwanga kwa yeyote ambaye amewahi kuagiza Bajaji (JVC) Mpya toka India (Kiwandani) au kupitia kwa mawakala wao wa kimataifa. Mambo ambayo natamani kuyajua ni haya yafuatayo:-
1. Je unaweza kuuziwa Bajaji moja au lazima ununue idadi kadhaa za Bajaji?
2. Je ukiagiza Bajaji (JVC) kwa moja moja au kwa Jumla (Bajaji kadhaa) bei zinakuwaje?
3. Je Kodi za TRA zinakokotolewa vipi kwa maona katika kikokotoo chao (Tool)hakuna option ya Bajaji?
4. Je kiulinganifu, kununua Bajaji nje ya nchi Moja Moja au Jumala na kununua Bajaji hapa Tanzania kwa wakala wao, ni option ipi ina unafuu?
5. Ningefurahi pia kujua changamoto (Angalizo) katika kuagiza Bajaji JVC toka India au kwa wakawa wao.
Ahsante kwa Ushauri na mwongozo wako
Naomba kupata Mwanga kwa yeyote ambaye amewahi kuagiza Bajaji (JVC) Mpya toka India (Kiwandani) au kupitia kwa mawakala wao wa kimataifa. Mambo ambayo natamani kuyajua ni haya yafuatayo:-
1. Je unaweza kuuziwa Bajaji moja au lazima ununue idadi kadhaa za Bajaji?
2. Je ukiagiza Bajaji (JVC) kwa moja moja au kwa Jumla (Bajaji kadhaa) bei zinakuwaje?
3. Je Kodi za TRA zinakokotolewa vipi kwa maona katika kikokotoo chao (Tool)hakuna option ya Bajaji?
4. Je kiulinganifu, kununua Bajaji nje ya nchi Moja Moja au Jumala na kununua Bajaji hapa Tanzania kwa wakala wao, ni option ipi ina unafuu?
5. Ningefurahi pia kujua changamoto (Angalizo) katika kuagiza Bajaji JVC toka India au kwa wakawa wao.
Ahsante kwa Ushauri na mwongozo wako