Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
kwahiyo nawe umo? walah nikimuona matesha namwambia ckubal aliwe vyake wakati naona!
Ukaambie kaMatesha kangu? Wala hata hakajui nini maana ya kutoswa. Labda ulimaanisha mama yake? Kama ni mama yake mbona hana noma? Au nikuPM namba zake? Kuna siku mpashukuna mmoja alimwambia nimemwona mme wako na baamedi unajua alijibiwaje??? Achana na mama matesha wangu bana! Lazima aende mbinguni!