Kuachwa ni Gundu au Nyota??

BROKE BOYS

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
13,211
39,034
Habar zenu wana jf hasa wadau wa hili jukwaa pendwa.
Kuna mada hapo juu naomba tuidiscuss vizuri. Kuna watu wanapitia magumu sana hasa kwenye suala la mapenzi/mahusiano.Unakuta mtu toka aanze mahusiano hajawai kuwa happy kila siku kulia kuachwa, unakuta na ni kweli ana true love lakin anaachwa solemba hiyo trend inaendea hvo hvo kwa kila anaekutana nae inauma sana.

Swali langu ni kwamba hivi hii inakua ni nyota ya mtu?? Au anakuwa na gundu tu, manake mtu kama hyu sion sababu ya yeye kuoa/olewa coz yeye ni mtu wa kuachwa tu. Wadau mnasemaje about this??
 
Sio gundu wala sio nyota

Hata ikitokea mtu akawa anaachwa mara nyingi sio gundu...ni suala la muda tu atapata anayemfaa

Sema kuachwa inauma aseee
 
Sio gundu inabidi ujitambue wewe unahadhi gani ukishajitambua uwezi kwenda kupalamia v8 Wakat wewe ni ist
 
Kuacha na kuachwa katika mahusianoni ni kawaida,ni sawa na kuchoka kula maharage kila siku
 
Kuna Dada amewahi kutolewa mahari mara 3 na mambo hayajatokea..Sijui ndo gundu
 
Back
Top Bottom