Naombeni msaada wa kisheria ndugu yyangu ameachishwa Kazi kwa kosa lisiloeleweka a me hang any I kids afanyeje? Nilikuwa ni ivi wafanyakazi waligoma siku ya tar 21 murch ila yeye aliingia night akatoka asubuhi na akaingia jioni akatoka kesho yake anashangaa anapewa barua ya kikao cha nidhamu akaenda na kuwaelewesha kuwa yeye shift yake haiusiani na uho mgomo akaambiwa amearibu punch wakati punch inafanya Kazi kama kawaida baada ya apo wakaambiwa wasubiri Leo wamepewa barua ya kuachishwa Kazi inayosema kosa la Kushawishi mgomo, kugoma na kuaribu Mali ya Mwajiri afanyaje ili spate haki yake ya kuachishwa Kazi gafla.
Simu tu haikuwa lengo msaada lakini.Mbona umeandika ki kolomije mkuu!
tufafanulie kwanza kwa lugha rahisi.
Ayo maneno yamejiandika tu nilitaka kusema amechanganyikiwa. Si mnajua simu ukiandika kwa haraka unaharibu ila kama imeeleweka nisaidieni.Naombeni msaada wa kisheria ndugu yyangu ameachishwa Kazi kwa kosa lisiloeleweka a me hang any I kids afanyeje? Nilikuwa ni ivi wafanyakazi waligoma siku ya tar 21 murch ila yeye aliingia night akatoka asubuhi na akaingia jioni akatoka kesho yake anashangaa anapewa barua ya kikao cha nidhamu akaenda na kuwaelewesha kuwa yeye shift yake haiusiani na uho mgomo akaambiwa amearibu punch wakati punch inafanya Kazi kama kawaida baada ya apo wakaambiwa wasubiri Leo wamepewa barua ya kuachishwa Kazi inayosema kosa la Kushawishi mgomo, kugoma na kuaribu Mali ya Mwajiri afanyaje ili spate haki yake ya kuachishwa Kazi gafla.
Rekebisha kwanza basi kweli inaleta shida kuelewa kwa yule ambaye anaweza kuwa na msaada. PoleniSimu tu haikuwa lengo msaada lakini.
Asante ni ivi Nina ndugu yangu ameachishwa Kazi bila kosa ila kwenye barua ya kuachishwa Kazi ameambiwa kuwa ameshawishi na kushiriki mgomo siku ya tar 21 na wakati siku iyo yeye aliingia night na alifanya Kazi akatoka asubuhi pia akaingia siku iyo iyo jioni akatoka kesho yake. Ilipofika tar 4 wakapewa barua ya kuitwa kwenye kikao cha nidhamu wakaambiwa ayo makosa ila yeye akawaelezea kuwa hausiki kwakuwa aliingia shift ya usiku wamwambia aliaribu machine ya kuandika inayoonyesha kuingia na kutoka! Ingawaje toka tar 21 siku ya tukio mpaka anapewa barua siku ya tar 4 ili kuwa inatumika kama kawaida akawaelezea pia , wakamwambia asubirie baada ya wiki Leo ndio kapewa barua ya kuachishwa Kazi kwa kosa la kushawishi mgomo, kugoma pamoja na kuaribu Mali ya mwajiri kitu hambacho si kweli.Rekebisha kwanza basi kweli inaleta shida kuelewa kwa yule ambaye anaweza kuwa na msaada. Poleni
Asante ni ivi Nina ndugu yangu ameachishwa Kazi bila kosa ila kwenye barua ya kuachishwa Kazi ameambiwa kuwa ameshawishi na kushiriki mgomo siku ya tar 21 na wakati siku iyo yeye aliingia night na alifanya Kazi akatoka asubuhi pia akaingia siku iyo iyo jioni akatoka kesho yake. Ilipofika tar 4 wakapewa barua ya kuitwa kwenye kikao cha nidhamu wakaambiwa ayo makosa ila yeye akawaelezea kuwa hausiki kwakuwa aliingia shift ya usiku wamwambia aliaribu machine ya kuandika inayoonyesha kuingia na kutoka! Ingawaje toka tar 21 siku ya tukio mpaka anapewa barua siku ya tar 4 ili kuwa inatumika kama kawaida akawaelezea pia , wakamwambia asubirie baada ya wiki Leo ndio kapewa barua ya kuachishwa Kazi kwa kosa la kushawishi mgomo, kugoma pamoja na kuaribu Mali ya mwajiri kitu hambacho si kweli.Rekebisha kwanza basi kweli inaleta shida kuelewa kwa yule ambaye anaweza kuwa na msaada. Poleni
hahahha mie mwenyewe nimesoma nikawa sipati ladha hahahahaHuu uandishi mwingine ni aibu.
Si uandike Kiswahili tu, hayo maneno yako ya Kingereza uliyoyaandika hayaeleweki.
Hapo imeeleweka ngoja wataaalamu we sheria za kazi waje watoe msaada wa kitaalamuAsante ni ivi Nina ndugu yangu ameachishwa Kazi bila kosa ila kwenye barua ya kuachishwa Kazi ameambiwa kuwa ameshawishi na kushiriki mgomo siku ya tar 21 na wakati siku iyo yeye aliingia night na alifanya Kazi akatoka asubuhi pia akaingia siku iyo iyo jioni akatoka kesho yake. Ilipofika tar 4 wakapewa barua ya kuitwa kwenye kikao cha nidhamu wakaambiwa ayo makosa ila yeye akawaelezea kuwa hausiki kwakuwa aliingia shift ya usiku wamwambia aliaribu machine ya kuandika inayoonyesha kuingia na kutoka! Ingawaje toka tar 21 siku ya tukio mpaka anapewa barua siku ya tar 4 ili kuwa inatumika kama kawaida akawaelezea pia , wakamwambia asubirie baada ya wiki Leo ndio kapewa barua ya kuachishwa Kazi kwa kosa la kushawishi mgomo, kugoma pamoja na kuaribu Mali ya mwajiri kitu hambacho si kweli.
Amerekebisha cheki post ya 7 au ya 8hahahha mie mwenyewe nimesoma nikawa sipati ladha hahahaha
Amerekebisha angalia post ya 7 au ya 8Huu uandishi mwingine ni aibu.
Si uandike Kiswahili tu, hayo maneno yako ya Kingereza uliyoyaandika hayaeleweki.
Umeanza kuwa na lugha ya staha! Hivi tunaita Kingereza au Kiingereza?Huu uandishi mwingine ni aibu.
Si uandike Kiswahili tu, hayo maneno yako ya Kingereza uliyoyaandika hayaeleweki.
Aende CMA haraka kabla ya siku 14 kuisha. Atafute watu wa chama cha wafanyakazi wamuelekeze la kufanya. Kushiriki mgomo lazima walete ushahidi, worse still kama alikuwa night shift meaning mchana wakati wa mgomo hakuwepo unless alikuwa anashiriki kwa njia ingine ???Asante ni ivi Nina ndugu yangu ameachishwa Kazi bila kosa ila kwenye barua ya kuachishwa Kazi ameambiwa kuwa ameshawishi na kushiriki mgomo siku ya tar 21 na wakati siku iyo yeye aliingia night na alifanya Kazi akatoka asubuhi pia akaingia siku iyo iyo jioni akatoka kesho yake. Ilipofika tar 4 wakapewa barua ya kuitwa kwenye kikao cha nidhamu wakaambiwa ayo makosa ila yeye akawaelezea kuwa hausiki kwakuwa aliingia shift ya usiku wamwambia aliaribu machine ya kuandika inayoonyesha kuingia na kutoka! Ingawaje toka tar 21 siku ya tukio mpaka anapewa barua siku ya tar 4 ili kuwa inatumika kama kawaida akawaelezea pia , wakamwambia asubirie baada ya wiki Leo ndio kapewa barua ya kuachishwa Kazi kwa kosa la kushawishi mgomo, kugoma pamoja na kuaribu Mali ya mwajiri kitu hambacho si kweli.
Aende CMA haraka kabla ya siku 14 kuisha. Atafute watu wa chama cha wafanyakazi wamuelekeze la kufanya. Kushiriki mgomo lazima walete ushahidi, worse still kama alikuwa night shift meaning mchana wakati wa mgomo hakuwepo unless alikuwa anashiriki kwa njia ingine ???
Akichelewa ikawa time barred to refer it to CMA, imekula kwake! Time limitation is the first observation please![/QUOTE Asante kesho atafatilia
Amerekebisha cheki post ya 7 au ya 8
Umeanza kuwa na lugha ya staha! Hivi tunaita Kingereza au Kiingereza?
Umeanza tena, kumbe aliyekuzaa alikuminya kwenye mapaja ya K ukasuffocate, ubongo ukawa undergo concussion! kwetu tunaamini hivyo kwa tabia ya kwakoLugha ya staha nnayo sana huwa unanisoma kwa uoga tu.
Punguani wahed.