Hahahhh mate lakiniii kha picha tu mtu akaamua yake? Ila hilo zoezi ni gumu lisikie tu kwa jirani kuachwa ni zaidi ya kufilisika.Kuna kaka nilitambulishwa tu kabla ya kuonana nilipokuwa number yake kutoka kwa rafiki yake nikampigia. Kwa kweli story ziliiva nikajiona niko kwenye relationship.
Siku mpenzi wangu yule alipoomba picha nikamtumia, niliachwa siku ile ile. Nilimpenda yule kaka na effect yake nilifeli mtihani vibaya sana milishindwa kabisa kusoma na nilikuwa shule.
Pole wangu but ulijifunza kwa hilo ndio maana upo hapa kutoa somo.Mate acha tu nilikuwa deep in love
Kuna mdada aliniacha,nikajaribu kumrudisha kama mara mbili tatu hivi,akagoma,nikaamua kumove on! Baada ya muda akarudi analalamika eti nilikua simpendi kwanini sikuendelea kumbembeleza!
Nikashindwa kumuelewa kabisa!
Kabisa Mkuu!Mkuu awa viumbe ni vigumu kuwaelewa
Hahaha uwhii yani nimecheekaHahahhh mate lakiniii kha picha tu mtu akaamua yake? Ila hilo zoezi ni gumu lisikie tu kwa jirani kuachwa ni zaidi ya kufilisika.
HahahaTeam haachwi mtu
Team Ruba
Hahaha shoga angu hata kama hutakwi kabisaa. Unaniachaje wakati nakupenda lakini
Sasa hunitaki vipi? Nabaki hivyo hivyo tuu.Hahaha shoga angu hata kama hutakwi kabisaa
Yani ntamtimua kama simjui *****Sasa hunitaki vipi? Nabaki hivyo hivyo tuu.. Sema kuachwa kunauma jamani. Kuna mkaka aliniacha alinifanya nilie na mengi maana sikuona sababu ya kuniacha ila yeye ndo walaa haelewi kabisa. Anajirudisha saa hizi mwenzie sina habari tena
Nilimwambia tu it's over bbyYani ntamtimua kama simjui *****
Yani hili tendo halizoelekikuachwa kusikie tu yasikukute
Sinaga hizo habari tutaongea nini sasa na kwa bahati mbaya inaweza sema sina x ambae sikumpenda au ambae bado nampenda so ma x wote ni maadui tu hata namba zao nlishag blok zoote
Katika historia yangu ckuwah date na mtu nsompenda na walianza wao kuzingua nikaamua kuacha maana sikuweza vumilia usaliti na hivi nlikua bado sokoni nikajionea ya kazi gani kufa na tai shingoni.
Sasa nipoamua kuacha sikurudi nyuma sio mawasiliano wala nini nadhani unayajua maumivu ya kuruhusu mtu aende wakati bado unampenda sasa ndo ataki hata kuwasikia
eti zaidi ya kufilisikaHahahhh mate lakiniii kha picha tu mtu akaamua yake? Ila hilo zoezi ni gumu lisikie tu kwa jirani kuachwa ni zaidi ya kufilisika.