Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,350
Unapoachana na mpenzi wako kuna sababu ya mfarakano huo kutokea, inawezekana hakuwa yule uliyeandikiwa. Sasa wale ving’ang’anizi mnavyo zidi kung’ang’ania mnaziba mipango ya Mungu aliyowaandalia mbele ya safari.
Una ng’ang’ania mpaka mtu anakuchukia, mwisho wa siku hata mnashindwa kuishi kama binadamu.
Una ng’ang’ania mpaka mtu anakuchukia, mwisho wa siku hata mnashindwa kuishi kama binadamu.
