Bunchari
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 695
- 878
Habari
Jamaa aliacha kazi pasipo kutoa taarifa kwa mwajiri baada ya kutopewa mshahara kwa miezi mitatu,ajira haina mkataba ni zile za kupatana pasipo maandishi
Alipofatilia akajulishwa anapaswa kukatwa mshahara wa mwezi mmoja kwa kutotoa notice kwa mwajiri.
Jamaa anadai alisitisha ajira pasipo kutoa notisi kwasababu mwajiri aliacha au alikataa kumlipa mshahara na ni sababu inayotambuliwa na sheria,ameamua kusonga mbele kupinga maamuzi haya
Anaweza kufanikiwa??
Jamaa aliacha kazi pasipo kutoa taarifa kwa mwajiri baada ya kutopewa mshahara kwa miezi mitatu,ajira haina mkataba ni zile za kupatana pasipo maandishi
Alipofatilia akajulishwa anapaswa kukatwa mshahara wa mwezi mmoja kwa kutotoa notice kwa mwajiri.
Jamaa anadai alisitisha ajira pasipo kutoa notisi kwasababu mwajiri aliacha au alikataa kumlipa mshahara na ni sababu inayotambuliwa na sheria,ameamua kusonga mbele kupinga maamuzi haya
Anaweza kufanikiwa??