- Thread starter
- #21
Hauwez kukaa single lazima utawasumbua dadazetu, labda uwe umeiweka kitanzi.Pia hata kama umependa usizidi hadi inafikia hatua kilaunachoambiwa haupingi hoja.Make sure haumuonyeshi baby wako reaction kama hizo hatakama unampenda atari,otherwise utabandika mabango kuwa upo single na bado unawasumbua watoto wa watu mtaani.
mkuu, sasaivi swala la kupenda penda ovyo halipo mkuu
ntampenda mke wangu tu mda ukifika

