Ku-date Mzungu raha sana

Mi nakunywa zangu we endelea nae vipi hao si naskiaga ni dam baridi kwenye faragha huwa hawana joto
1577224000349.jpeg
 
Niko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.

Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.

Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness 😘

Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life 😊
kwa ufupi ni kwamba wwe ulienda shule kwa kubahatisha? how com huwezi soma mwenyewe hadi ukaririshwe?
 
Niko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.

Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.

Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness

Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life
SUA watakula kichwa yako siku si nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.

Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.

Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness

Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life
Wewe unamfaa kwa kipi mana umezungumza sifa zake nzuri tu!!
Mana ladies mnapenda kutreat-iwe kma malkia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ilivyo kawaida yenu makandokando hayawaishi mwenzako ana care bado unalalamika kuwa anapenda kukufuatilia sana. Nyie bakini na sisi tu ndo dawa yenu, mtifuano kuanzia siku ya kuolewa mpka siku ya mwisho wa maisha yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo hajajua hapa bongo tulishaacha kusomesha wachumba.ulivyo sound kibinafsi ,namuonea huruma utakachomfanya baada ya kumaliza hiyo anatomy yako


Niko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.

Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.

Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness 😘

Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life 😊
 
Kati ya vitu huwa sielewi ni hii ya kukataa mpenzi wako asijue nyendo zako. Unampenda na mko ktk mahusiano mazuri, tatizo liko wapi? Unaficha nini?
 
Back
Top Bottom