Los técnicos
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 3,010
- 2,604
Noup to me
Nadhani ni protection.
Na shida yenu mnataka uhuru wa kujiuza
Sent using Jamii Forums mobile app
Noup to me
Hongera Mamy, jilie vyako taratibu, Wanaume under 30 ni stress sana.
very accurate 🤣🤣🤣
kwa ufupi ni kwamba wwe ulienda shule kwa kubahatisha? how com huwezi soma mwenyewe hadi ukaririshwe?Niko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.
Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.
Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness 😘
Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life 😊
SUA watakula kichwa yako siku si nyingiNiko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.
Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.
Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness
Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life
Wewe unamfaa kwa kipi mana umezungumza sifa zake nzuri tu!!Niko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.
Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.
Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness
Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life
Niko kwa relationship na kaka m1 Mzungu mpk raha. Anacare sana halafu anajitambua sana, anajua anataka nini kwa haya maisha. Kama kuna kitu anasema direct hafichi hayuko mnafki.
Ananisaidia masomo yngu sana sana anatomy. Hata kama kesho akiwa anatakiwa kuwahi kazini lakin nikihitaji anifundishe anaweza kukaa hta mpk saa nane usiku kwa ajili yng. Km nikiwa na exams ananifundisha, tunakuwa tunasoma wote pamoja. Mimi sio msomaji lakin kwa sasa shule yng inaenda sawa.
Halafu anajua sana romance, anajua ku care, anajua kukiss. Kisses ndio ma sickness 😘
Tuna miezi mi4 tu lakin nahisi km nko nae miaka, nimejifunza mambo mengi sana kwake hasa maisha. Nimegundua kudate na mwanaume above 30 ni raha sana kwa sababu anajitambua na ni muelewa sana. Ila tatizo lake moja anataka kujua kila kitu, naongea na nani? Nachat na nani? Nko wapi nafanya nini. Kwa ufupi anataka kujua kla step ninayopiga. Tabia yke hii ya kufuatilia tu ndio siipendi ila sehem nyingine kote yko ok. Nadhani ninemeet na love of ma life 😊