Wazaz msaada kwa hili. Nikipiga hesabu ya ela ya meal, acumdtn, stationry, field n research haitoshi kulingana na amount nilopewa kama fee imejumlishwa t means ni kias gani? Au amount wanayonilipia itatumwa chuo then niongezee? Mlo enda bodi na mwenye ufahamu anisaidie tafadhali..