Mollyraine
Member
- May 24, 2019
- 6
- 2
Naomba ushauri wenu Kati ya ardhi na sheria ni sector gani yenye ajira na kitengo kipi Cha ardhi chenye ajira. Please naomba ushauri wenu
Ok, Asantesoma unachokipenda... mambo ya ajira siku hizi hayaeleweki...
hata ukikosa ajira hutaumia sana kama umesoma unachopenda... kuliko usome husichokipenda kisha ukose ajira