Kozi ya kingereza kwa watu wazima

Kozi ya kingereza kwa watu wazima

Stanley Mims

Member
Joined
Aug 29, 2020
Posts
48
Reaction score
86
Hello wanajukwaa.

Natoa huduma ya kufundisha kozi ya kiingereza (English Course) kwa watu wazima wa elimu kuanzia darasa la saba.

Kozi inafundishwa kwenye madaraja matatu (3)

1. Basic level
2. Intermidiate level
3. Advanced level

Madaraja yote hayo yanategemea na ngazi ya elimu ya mwanafunzi husika.

Muda wa level ya kwanza ni mwezi mmoja, la level ya pili ni siku 20.

Kingereza kitafundishwa cha kuzungumza (Oral) na kuandika (written)

Mawasiliano: 0743123946

Karibuni sana.
 
Hello wanajukwaa.

Natoa huduma ya kufundisha kozi ya kiingereza (English Course) kwa watu wazima wa elimu kuanzia darasa la saba.

Kozi inafundishwa kwenye madaraja matatu (3)

1. Basic level
2. Intermidiate level
3. Advanced level

Madaraja yote hayo yanategemea na ngazi ya elimu ya mwanafunzi husika.

Muda wa level ya kwanza ni mwezi mmoja, la level ya pili ni siku 20.

Kingereza kitafundishwa cha kuzungumza (Oral) na kuandika (written)

Mawasiliano: 0743123946

Karibuni sana.
Can you really teach some one a laguage in 20days? or you can just train some one to pronounce English words in 20days, plz dear teacher distinguish that for us
 
Hello wanajukwaa.

Natoa huduma ya kufundisha kozi ya kiingereza (English Course) kwa watu wazima wa elimu kuanzia darasa la saba.

Kozi inafundishwa kwenye madaraja matatu (3)

1. Basic level
2. Intermidiate level
3. Advanced level

Madaraja yote hayo yanategemea na ngazi ya elimu ya mwanafunzi husika.

Muda wa level ya kwanza ni mwezi mmoja, la level ya pili ni siku 20.

Kingereza kitafundishwa cha kuzungumza (Oral) na kuandika (written)

Mawasiliano: 0743123946

Karibuni sana.
Tatizo gharama yako kubwa sana, yaani kufundisha kingereza tu ada 20,000,000? You are not serious.
 
Can you really teach some one a laguage in 20days? or you can just train some one to pronounce English words in 20days, plz dear teacher distinguish that for us
I do teach basic principles to adhere when learning English, the bases which can simplify the self learning or the whole process when taught the Language.

20 days aren't enough to learn any language, but they are logically enough to teach foundations of any language including universal languages.

Warmly welcome Sir [emoji4]
 
Can you really teach some one a laguage in 20days? or you can just train some one to pronounce English words in 20days, plz dear teacher distinguish that for us
Hata mimi nimeshangaa aisee maana hata ukienda Uingereza ilipotokea hiyo lugha na kuzungumzwa na kila mtu huwezi kuijua kwa siku 20.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Hata mimi nimeshangaa aisee maana hata ukienda Uingereza ilipotokea hiyo lugha na kuzungumzwa na kila mtu huwezi kuijua kwa siku 20.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Kwanini mna exaggerate hili suala? Kama utakuwa umesoma post vizuri ni kwamba, siku 20 ni kwa ajili ya intermediate level, kama utaelewa maana ya "Intermediate" huwezi kushangazwa na siku 20 ambazo kimsingi ni nyingi kwenye kufundisha Kingereza.

Anayefundishwa intermediate ni yule mwenye basic English, in case uliwahi kusoma ama kufundisha Lugha (yoyote).

Intermidiate level huambatana na program maalumu ya ku enhance lugha ambayo mtu tayari ameshajifunza kwa daraja la awali, ambalo kwa modules zangu ni ndani ya mwezi mmoja ama zaidi kulingana na level ya elimu ya mtu.

Kama kwenye intermidiate level unafundisha dictionary use na interpretation, utahitaji siku ngapi? [emoji1] Come on guys!!
 
Kwanini mna exaggerate hili suala? Kama utakuwa umesoma post vizuri ni kwamba, siku 20 ni kwa ajili ya intermediate level, kama utaelewa maana ya "Intermediate" huwezi kushangazwa na siku 20 ambazo kimsingi ni nyingi kwenye kufundisha Kingereza.

Anayefundishwa intermediate ni yule mwenye basic English, in case uliwahi kusoma ama kufundisha Lugha (yoyote).

Intermidiate level huambatana na program maalumu ya ku enhance lugha ambayo mtu tayari ameshajifunza kwa daraja la awali, ambalo kwa modules zangu ni ndani ya mwezi mmoja ama zaidi kulingana na level ya elimu ya mtu.

Kama kwenye intermidiate level unafundisha dictionary use na interpretation, utahitaji siku ngapi? [emoji1] Come on guys!!
Mimi nimeishia la 4 nitaweza kweli na umri wangu miaka 35
 
Mwalim kua realistic mwezi mmoja au 20days zinaleta mashaka ktk kukuletea wateja
 
Kwanini mna exaggerate hili suala? Kama utakuwa umesoma post vizuri ni kwamba, siku 20 ni kwa ajili ya intermediate level, kama utaelewa maana ya "Intermediate" huwezi kushangazwa na siku 20 ambazo kimsingi ni nyingi kwenye kufundisha Kingereza.

Anayefundishwa intermediate ni yule mwenye basic English, in case uliwahi kusoma ama kufundisha Lugha (yoyote).

Intermidiate level huambatana na program maalumu ya ku enhance lugha ambayo mtu tayari ameshajifunza kwa daraja la awali, ambalo kwa modules zangu ni ndani ya mwezi mmoja ama zaidi kulingana na level ya elimu ya mtu.

Kama kwenye intermidiate level unafundisha dictionary use na interpretation, utahitaji siku ngapi? [emoji1] Come on guys!!
Mkuu wewe kubali tu kwamba ulitumia mbinu ya kibiashara kujitangaza kwa kuongeza chumvi kama kwenye matangazo ya Ras Simba anavyofanyaga.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Can you really teach some one a laguage in 20days? or you can just train some one to pronounce English words in 20days, plz dear teacher distinguish that for us
Halafu anafundisha bure.
 
Back
Top Bottom