Kozi ya kingereza kwa watu wazima

Kozi ya kingereza kwa watu wazima

Mwalim kua realistic mwezi mmoja au 20days zinaleta mashaka ktk kukuletea wateja
Muda mwinigi sana watu wamelaghaiwa kushinda darasani kujifunza lugha, lugha ni maisha ndugu yangu, lugha ni "interaction" sio kushinda darasani, watu wanadhani kukaa darasani ama kuwa na vipindi vingi kwa maana ya miezi na miezi ndio kujua lugha, lugha ni Programming, na sio kuwa passive darasani kumsikiliza Mwalimu, its a big lie.

Wapo niliowa program ndani ya mwezi tu, na wakawa facilitated ku interact na mazingira ya kujifunza Kingereza, at the end of the day, wakawa na passion, unadhani unahitaji muda mrefu sana kumfunza mtu maneno zaidi ya 4000 ya Kingereza, wewe umesoma miaka mingapi elimu yako yote? Unaweza kujinadi kusema unajua Kingereza??
 
Mwalim kua realistic mwezi mmoja au 20days zinaleta mashaka ktk kukuletea wateja
Its not about the time spent in classroom, its about how programmed is an individual to develop lifetime English learning culture.

Mtafute hata professor wa chuo kikuu, aliyesoma miaka na mikaka darasani, muulize kama anajua Kingereza. Ikiwa ulibahatika kusoma chuo kikuu utaelewa wale mabwana wengi wao licha ya muda walitumia darasani, lakini bado ngoma inawapiga chenga, and possibly you are one of them.
 
Mkuu wewe kubali tu kwamba ulitumia mbinu ya kibiashara kujitangaza kwa kuongeza chumvi kama kwenye matangazo ya Ras Simba anavyofanyaga.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Sitaki nimzungumzie Ras Simba, yeye anajua afanyacho, am 100% sure kwamba umefika kidato cha nne (hata na zaidi) umetumia miaka mingapi darasani? Surely 11, Somo la kiingereza halikuwapo?

Sikuhukumu, ila, umewahi kujiamini kwamba unajua Kingereza? [emoji1] Ama haya kujihakikishia. Watu wanadanganywa kwamba wakasome miezi kadhaa halafu watazungumza Kingereza, dude! That's for short minded people, mimi simfundishi mtu mwezi ili baada ya hapo aongee lugha, sipo hapa kudanganya watu kwa matangazo ya bei rahisi, mimi ni Mwalimu wa LLL (Life long learning), lugha ni maisha, sio tukio soma advert vizuri.
 
Sitaki nimzungumzie Ras Simba, yeye anajua afanyacho, am 100% sure kwamba umefika kidato cha nne (hata na zaidi) umetumia miaka mingapi darasani? Surely 11, Somo la kiingereza halikuwapo?

Sikuhukumu, ila, umewahi kujiamini kwamba unajua Kingereza? [emoji1] Ama haya kujihakikishia. Watu wanadanganywa kwamba wakasome miezi kadhaa halafu watazungumza Kingereza, dude! That's for short minded people, mimi simfundishi mtu mwezi ili baada ya hapo aongee lugha, sipo hapa kudanganya watu kwa matangazo ya bei rahisi, mimi ni Mwalimu wa LLL (Life long learning), lugha ni maisha, sio tukio soma advert vizuri.
Kumbe tunachokwambia umetuelewa na unakubaliana na sisi ila unazunguka in indirect way.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Muda mwinigi sana watu wamelaghaiwa kushinda darasani kujifunza lugha, lugha ni maisha ndugu yangu, lugha ni "interaction" sio kushinda darasani, watu wanadhani kukaa darasani ama kuwa na vipindi vingi kwa maana ya miezi na miezi ndio kujua lugha, lugha ni Programming, na sio kuwa passive darasani kumsikiliza Mwalimu, its a big lie.

Wapo niliowa program ndani ya mwezi tu, na wakawa facilitated ku interact na mazingira ya kujifunza Kingereza, at the end of the day, wakawa na passion, unadhani unahitaji muda mrefu sana kumfunza mtu maneno zaidi ya 4000 ya Kingereza, wewe umesoma miaka mingapi elimu yako yote? Unaweza kujinadi kusema unajua Kingereza??
Sasa kama ni hivyo unajua kwamba lugha ni culture na ni kitu endelevu sio kukaa darasani tu.
Je umewaandalia mazingira gani wanafunzi wako baada ya kumaliza hiyo kozi ya darasani kuhakikisha walichokisoma wanakiendeleza maana wakirudi mtaani hakuna wazungu wa kuongea nao lugha inayotumika ni kiswahili kila mitaa ya Tanzania.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kama ni hivyo unajua kwamba lugha ni culture na ni kitu endelevu sio kukaa darasani tu.
Je umewaandalia mazingira gani wanafunzi wako baada ya kumaliza hiyo kozi ya darasani kuhakikisha walichokisoma wanakiendeleza maana wakirudi mtaani hakuna wazungu wa kuongea nao lugha inayotumika ni kiswahili kila mitaa ya Tanzania.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Ndio maana ya Programming.
 
Hongera kwa uthubutu na practice, I take it very positive na ubarikiwe zaidi na zaidi. Safi sana kamanda
 
English laguage is very wide, nobody can understand it in three monthes, if you wanna know how to speak and write it as well, you have to stay in it all the time.
 
Hello wanajukwaa.

Natoa huduma ya kufundisha kozi ya kiingereza (English Course) kwa watu wazima wa elimu kuanzia darasa la saba.

Kozi inafundishwa kwenye madaraja matatu (3)

1. Basic level
2. Intermidiate level
3. Advanced level

Madaraja yote hayo yanategemea na ngazi ya elimu ya mwanafunzi husika.

Muda wa level ya kwanza ni mwezi mmoja, la level ya pili ni siku 20.

Kingereza kitafundishwa cha kuzungumza (Oral) na kuandika (written)

Mawasiliano: 0743123946

Karibuni sana.
Darasa lipo wapi?
 
Back
Top Bottom