Kozi ya human resource unaweza kujiajiri?

Kozi ya human resource unaweza kujiajiri?

Bachelor of commerce in Human Resources ya udsm tu ndio nzuri , kwanza wanasoma masomo mengi sana yani na tulikua tunasoma nao hadi accounts , kama ana division one mwambie aombe transfer ahamie udsm , magoli sana pale mdogo wangu mi nimeshamaliza muda pale natamani hata nirudi tena nimemiss udbs yangu
Jamaa umenikera sana.
Sijui wanafunzi wa UDSM mnakuwaga na shida gani kwenye bongo zenyu.
Huwezi kukutana na mwanafunzi aliyesoma au anaesoma UDSM alaf asilete majivuno, kila unayekutana nae yuko bize kuongea hovyo kama hawana vichwa. Mnakuwa wasomi wa hovyo, simameni katika ukweli, achaneni na hisia zenu zinazotoka kwenye bongo zenu za popo. Nimekutana na Graduate kutoka SAUT kada ya sheria yuko vizuri kuliko hao mnaowafuga kwa kukalili hapo Yudizim.
Hembu mjishikilie.
 
Habari zenu.
Guys I am starting with apologize.Nilikua nataka kujua kozi ya human resources unaweza kujiajiri?If yes,How? I need some explaination about ugumu wa kozi hiyo na urahisi wake pia. Na kama pia unajua chuo ambacho wako vizuri kwa hiyo kozi.
Thanks in advance.


Vipi ulimaliza hiyo HRM ?
 
Thanks bro.
i appreciate maneno ako. In fact Nasoma BBA this time naingia second year apo mzumbe mbeya.But sijui chochote kuhusu BHRM yani tangu nikae chuo sijapata rafiki wa BHRM thats why nikaamua niulize huku. But apart from maneno yako i just like other side of your words ni nzuri.Thanks though


Vipi ulikua unapiga bachelor 2 kwa pamoja?
 
Dada amepigwa na kitu kizito kwenye fuvu. Haha amepotea
 
Jamaa umenikera sana.
Sijui wanafunzi wa UDSM mnakuwaga na shida gani kwenye bongo zenyu.
Huwezi kukutana na mwanafunzi aliyesoma au anaesoma UDSM alaf asilete majivuno, kila unayekutana nae yuko bize kuongea hovyo kama hawana vichwa. Mnakuwa wasomi wa hovyo, simameni katika ukweli, achaneni na hisia zenu zinazotoka kwenye bongo zenu za popo. Nimekutana na Graduate kutoka SAUT kada ya sheria yuko vizuri kuliko hao mnaowafuga kwa kukalili hapo Yudizim.
Hembu mjishikilie.
Kusema ukweli hao waUDSM ndio wenye uwezo kuanzia olevel, advance na ndio maana wakachaguliwa UDSM, waache wajitambe maana wanaakili. Hivi ulishawai kusikia vipanga wanasoma huko sijui SAUTI.
 
Kusema ukweli hao waUDSM ndio wenye uwezo kuanzia olevel, advance na ndio maana wakachaguliwa UDSM, waache wajitambe maana wanaakili. Hivi ulishawai kusikia vipanga wanasoma huko sijui SAUTI.
Uliwahi kujiuliza kuhusu mzumbe???. umekalili UDSM tu ndo wanaenda vipanga. Alaf wewe utakuwa ni mwanafunzi wa UDSM.
 
Jamaa umenikera sana.
Sijui wanafunzi wa UDSM mnakuwaga na shida gani kwenye bongo zenyu.
Huwezi kukutana na mwanafunzi aliyesoma au anaesoma UDSM alaf asilete majivuno, kila unayekutana nae yuko bize kuongea hovyo kama hawana vichwa. Mnakuwa wasomi wa hovyo, simameni katika ukweli, achaneni na hisia zenu zinazotoka kwenye bongo zenu za popo. Nimekutana na Graduate kutoka SAUT kada ya sheria yuko vizuri kuliko hao mnaowafuga kwa kukalili hapo Yudizim.
Hembu mjishikilie.
hasira za nini kwani nimekuchagua mimi huko Jordan university
 
Back
Top Bottom