muneera75
Senior Member
- Oct 12, 2019
- 190
- 318
Habari zenu.
Guys I am starting with apologize.Nilikua nataka kujua kozi ya human resources unaweza kujiajiri?If yes,How? I need some explaination about ugumu wa kozi hiyo na urahisi wake pia. Na kama pia unajua chuo ambacho wako vizuri kwa hiyo kozi.
Thanks in advance.
Guys I am starting with apologize.Nilikua nataka kujua kozi ya human resources unaweza kujiajiri?If yes,How? I need some explaination about ugumu wa kozi hiyo na urahisi wake pia. Na kama pia unajua chuo ambacho wako vizuri kwa hiyo kozi.
Thanks in advance.
