Richiethegemini
Member
- Oct 31, 2017
- 64
- 32
Wazee naomba kuuliza kati ya hizi kozi mbili Oil and gas engineering na Electrical and electronics Eng ipi soko lake LA ajira limekaa sawa baada ya kuhitimu?
Petroleum petroleum namba wanaisoma,Wazee naomba kuuliza kati ya hizi kozi mbili Oil and gas engineering na Electrical and electronics Eng ipi soko lake LA ajira limekaa sawa baada ya kuhitimu?
Mkuu kwa mim nakushauri bora usome Electrical and Electronics Engineering ina soko pia ukimaliza kuna uwezekano mkubwa wa kuajiriwa au hta kujiajiri mim mmoja wao nimefanya hio.Wazee naomba kuuliza kati ya hizi kozi mbili Oil and gas engineering na Electrical and electronics Eng ipi soko lake LA ajira limekaa sawa baada ya kuhitimu?
Petroleum petroleum namba wanaisoma,Wazee naomba kuuliza kati ya hizi kozi mbili Oil and gas engineering na Electrical and electronics Eng ipi soko lake LA ajira limekaa sawa baada ya kuhitimu?
hahhaa nimecheka sana ila nimekuelewa MkuuPetroleum petroleum namba wanaisoma,
Watu wana masters zao namba wanaisoma
watu wana PHD zao namba wanaisoma
namba shufwa wanazisoma
namba witiri namba tasa,
Watu wana mauzoefu yao namba wanaisoma
Wewe una degree yako, mchezo utauweza?
Wewe unaka bachelor kako mchezo utauweza?
Mdogo mdogo wangu, mdogo wangu, usiiguse petroleum
Waachie walio igusa waendelee kuisoma namba,
usiiguse petroleum namba utaisoma
Watu wenye one za tatu namba wanaisoma
watu wenye one za nne namba wanaisoma
watu wenye one za tano mamba wanaisoma,.
Ww mwenye two yako utauweza mchezo,
Kusoma namba sio mchezo,
Kawaulize chekechea,
huu ni mwaka wa tano,
kwa watalaam wa petroleum,
Kama na wewe unapenda bac chagua petroleum,
Petroleum unaipenda na namba utaisoma,
Petroleum ni janga usichague petroleum,
Badirisha kozi haraka usisome petroleum,
Ewe kijana wa petroleum uliyepo chuoni,
Weka vzuri hela yako, kusoma namba ni kazi.
Namalzia kwa kusema, petroleum itakuumiza,
Naweka karamu chini nawe achana na petroleum,
Usiiguse petroleum engineering itakusomesha namba mtaani
Usiiguse Petroleum chemisry itakusomesha namba mtaani
Usiiguse Petroleum geology itakusomesha namba mtaani,
Ewe ndugu yangu wa petroleum, kama Mechanical engineering ipo nenda kaisome hiyo, hutojuta.
Usiende huko kwenye Oil and gas, mafuta hayo yatakuchoma, yatakubabu huo mwili
Bora ukasome electrical ukapigwe na short ya umeme.
asante kwa ushauriMdogo wangu cha msingi ni kusoma kitu chochote kile unachopenda. Kisome kwa bidii na kufaulu kwa kiwango kikubwa. Vile vile kuwa na ujuz wa ziada wa kozi husika ili kuweza kufuzu katika ushindan wa ajira na pia kuweza kujiajir.
shukrani mkuuMkuu kwa mim nakushauri bora usome Electrical and Electronics Engineering ina soko pia ukimaliza kuna uwezekano mkubwa wa kuajiriwa au hta kujiajiri mim mmoja wao nimefanya hio.
Karibu Mkuu.shukrani mkuu
Boss hii kitu umeandika kama KungwiPetroleum petroleum namba wanaisoma,
Watu wana masters zao namba wanaisoma
watu wana PHD zao namba wanaisoma
namba shufwa wanazisoma
namba witiri namba tasa,
Watu wana mauzoefu yao namba wanaisoma
Wewe una degree yako, mchezo utauweza?
Wewe unaka bachelor kako mchezo utauweza?
Mdogo mdogo wangu, mdogo wangu, usiiguse petroleum
Waachie walio igusa waendelee kuisoma namba,
usiiguse petroleum namba utaisoma
Watu wenye one za tatu namba wanaisoma
watu wenye one za nne namba wanaisoma
watu wenye one za tano mamba wanaisoma,.
Ww mwenye two yako utauweza mchezo,
Kusoma namba sio mchezo,
Kawaulize chekechea,
huu ni mwaka wa tano,
kwa watalaam wa petroleum,
Kama na wewe unapenda bac chagua petroleum,
Petroleum unaipenda na namba utaisoma,
Petroleum ni janga usichague petroleum,
Badirisha kozi haraka usisome petroleum,
Ewe kijana wa petroleum uliyepo chuoni,
Weka vzuri hela yako, kusoma namba ni kazi.
Namalzia kwa kusema, petroleum itakuumiza,
Naweka karamu chini nawe achana na petroleum,
Usiiguse petroleum engineering itakusomesha namba mtaani
Usiiguse Petroleum chemisry itakusomesha namba mtaani
Usiiguse Petroleum geology itakusomesha namba mtaani,
Ewe ndugu yangu wa petroleum, kama Mechanical engineering ipo nenda kaisome hiyo, hutojuta.
Usiende huko kwenye Oil and gas, mafuta hayo yatakuchoma, yatakubabu huo mwili
Bora ukasome electrical ukapigwe na short ya umeme.
Kama una mtu wa kukushika mkono kasome mafuta kama huna kaa nayo mbali kama ukoma!!Wazee naomba kuuliza kati ya hizi kozi mbili Oil and gas engineering na Electrical and electronics Eng ipi soko lake LA ajira limekaa sawa baada ya kuhitimu?
Oil and gas nzuri tatizo ajira ishu. Hiyo nyingine uhakika upo wa ajira
thanks brother nitakutafutaKASOME ELECTRICAL MDGO WANGU AJIRA ZIPO SANA ZA UMEME ILA UWE MVUMILIVU UKIMALIZA AJIRA NAZO NI CHALLENGE ILA HUWEZ KUSOTA SANA KM UTAJITPLEA KUPIGA INTERNSHIP SEHEMU MIMI NIKO TICTS NAKUKARIBISHA UJE FIELD HAPA NIKUIVISHE