Kosea vyote, usikosee mume

Kwanza wewe sio muoaji bali muolewaji,Hauna jeuri ya kuchagua mwanaume kana kwamba wewe ndiye muoaji.Pili anayeamua ndoa ni mwanaume sio wewe mwanamke,kama ni makosa anafanya mwanaume kwa kukuoa wewe sio kwa wewe kuolewa naye! Wewe kazi yako ni kusubiri kuolewa yaani kukaa kusubiri mwanaume atakapofanya maamuzi kuoa ndipo akuoe!
Duh...nilidhani humu ni sehemu ya watu wenye mtazamo chanya. Ila Kama wanavyosema, kwenye msafara wa mamba na kenge wamo.
Ila sikiliza Ni kwambie kitu, maamuzi ya kuingia kwenye ndoa Ni ya watu wote wawili na sio ya mwanaume peke yake, na ndio maana uanweza kwenda kutoa posa na ikakataliwa na mwanamke mwenye kwasababu zake alizokuwa nazo.

Ila ukiendelea na huo mfumo wako dume hadi kwenye familia utaenda kuiharibu. Na hata Kama wewe Ni mwanaume hakuna mwanamke anaye taka mtu ambaye hawaelewani siku zote, na anyejiona hakosei eti kisa Ni mwanaume.
 
Hoja zako zina mashiko hasa.

Ukweli ni kwamba Wanaume walio wengi huingia katika ndoa bila ya kujua majukumu yao ipasavyo. Tatizo ni kwamba sisi Wanaume tunaoa kwa kusukumwa na nyege.

Hilo ni tatizo kubwa sana sababu mtu anayesukumwa na nyege huwa hajui majukumu yake mengine. Anachokijua yeye ni kutuliza tu nyege zinazomsumbua. Sasa ukiolewa na Mwanamume kama huyo andika maumivu.

Na wanaume wa namna hiyo ndiyo wengi sana, tena ndiyo hao mnaowaita "romantic".

Yes, siku za mwanzo, sababu ya nyege zake kumtawala, wewe utamwona ni romantic sana na kuona ndiye anakufaa maishani.

Baada ya miaka 2 au 3 ya ndoa ndiyo utajua kuwa ulinunua mbuzi kwenye gunia.
Umeongea vyema Sana
 
Aisee aikwambie mtu kosea kuchagua nguo, utabadilisha, kosea rafiki utawapotezea lakini usikosee mume. Ukikosea mwanaume wa kuolewa nae tu, umekosea kila kitu.
Kikweli wanaume wa siku hizi, hawana uchungu hata kidogo na familia zao.

Wanaume mjirekebishe jamani, inasikitisha Sana.


Mume ni mume hata awe kichaa ni mumeo tu, suala ni kuvumiliana.🤣🤣
 
Ni mara 10 ukosee mume atajirekebisha

ukikosea kuoa mwanamke wa hovyo UTAPATA TABU sana; wanawake wagumu kubadilika.
Sio kweli. Na hamna hafadhali hapo, kubadilika kwa mtu kunategemeana na yeye mwenyewe. Na Tena Mimi naona kuwa wanaume Ni ngumu kubadilika kwakuwa hamtaki kuonekana mmekosea kwasababu ya mfumo dume mlionao, wengi wenu.
 
Jacquiline hivi wewe Mwanamke una akili timamu kweli?? umeamua kunianika humu ili iweje sasa? umeshindwa hata kuniita tuyamalize? mbaya zaidi unatumia jina lako halisi!! Nilisha gundua kitambo humu JF ni memba japo ulikataa! umo humu kitambo!
Ohooooooo. Ya kweli haya?
 
Duh...nilidhani humu ni sehemu ya watu wenye mtazamo chanya. Ila Kama wanavyosema, kwenye msafara wa mamba na kenge wamo.
Ila sikiliza Ni kwambie kitu, maamuzi ya kuingia kwenye ndoa Ni ya watu wote wawili na sio ya mwanaume peke yake, na ndio maana uanweza kwenda kutoa posa na ikakataliwa na mwanamke mwenye kwasababu zake alizokuwa nazo.
Ila ukiendelea na huo mfumo wako dume hadi kwenye familia utaenda kuiharibu. Na hata Kama wewe Ni mwanaume hakuna mwanamke anaye taka mtu ambaye hawaelewani siku zote, na anyejiona hakosei eti kisa Ni mwanaume.
Kwa misingi ya uumbaji tangu Adam ndiye aliyepewa options za kuchagua kiumbe atakachopendezwa nacho kuishi naye,Ndipo alipomchagua mwanamke.Akili ya mwanamke ni tofauti na mwanaume.Ni kweli kwamba makubaliano ya kuingia katika ndoa ni ya wawili lakini kumbuka hapo kuna mmoja anabembelezwa na kutongozwa kwanza ili akubali wakati mwingine alishakuwa tayari.

Mwanamke hata ukikataa kuingia katika ndoa ni rahisi sana kushawishiwa na kuingia katika ndoa.Kwa kifupi zaidi ya 90% ya maamuzi ya ndoa yapo kwa mwanaume,Sasa katika hali kama hiyo unaanzaje kusema mwanamke ndiye muoaji? Wewe hauchagui ila una uhuru wa kukubali au kukataa kile kinachokuja mbele yako (kazi ambayo bado pia uwezo wenu wa akili kupambanua ni mdogo)
 
Back
Top Bottom