Kukosea kuoa ni pale Ndoa inapokuwa Ndoano ni mawazo yangu huenda kuna wengine wanaelewa zaidi ya hapo.Hivi kukosea kuoa ndio kukoje? Yaani unakuwa umeoa mtu usiyempenda au asiye na vigezo uvitakavyo au ......? Sielewi, naomba mnifafanulie hapa
Kama kileo na Joyce kiria vileHivi kukosea kuoa ndio kukoje? Yaani unakuwa umeoa mtu usiyempenda au asiye na vigezo uvitakavyo au ......? Sielewi, naomba mnifafanulie hapa
Ukijikuta umeingia chaka unashindwa nini kumwacha huyo mwanamke na kuendelea na maisha mengine?Yani unaoa mwanamke ambae mmekutana nae kwa mwezi mmoja tu, hujachunguza na kujua tabia yake .
Mwanzoni huwa wanawake wanaficha makucha lakini akishaingia ndani sasa movie la kikorea linaanza.
Mara amchunie mdogo wako unaekaa nae, utakuta Kuna siku anakununia bila sababu, wakija wanandugu yeye yupo zake chumbani ndugu zako anawatelekeza sebuleni.
Akitaka kitu usipomtimizia kwa wakati ananua na kukunyima papuchi, gubu kila siku Mara ukirudi siku hajapika na pesa umemuachia.
Mkuu hayo ni machache sana ila yapo mengi.
Kweli kabisa!Kujenga nyumba kunagharimu zaid ya shilingi milion 40 -50 nyumba ambayo standard. Kuoa huwezi maliza hata milion 2 usiombee kukosea kujenga kaka utalia kilio cha kusaga meno ukikosea kuoa utaacha utaoa tena kwa gharama nafuu sana
Kati ya wawili hao nani hasa alikosea aliyeoa au aliyeolewa?Kama kileo na Joyce kiria vile
Nitakutafuta unielezee zaidihahha ndoa ni kutia mkono kizani
Umesalimika kweli kwa MakondaNdio maana na umri wangu huu bado sijaoa, nachofanya ni kuzalisha tu baadaye nitawakusanya wanangu chini ya mbawa zangu wakae kwa umoja na amani bila ya kuwa na Mke rasmi.
Eleza kwa data sio unaropoka tu!uliona wapi au kuskia mke zaidi ya 1 wanalala kitanda kimoja?Kwa waislamu wala hawaumizi kichwa wao ni taxi au gari la abiria hakutaki ataleta mwingine au akupe talaka aoe tena .
Ndio hivyo.
Anauwezo wakujaza wote walale kitanda kimoja hatojali.
Ili hali anapunguza stress.