alphoncefrance
Member
- Sep 26, 2016
- 9
- 14
Kwanini tunasema kosea kujenga sio kuoa tuna maana moja tu sisi waungwana maana ukikokosea kujenga unaweza kubomoa na haitakuchukua muda mrefu kujenga tena lakini ukikosea kuoa itakuchua muda mrefu kuoa tena katika maisha na ndio maana kuna watu wakishaachana na mwanamke itamlazimu kutokuoa kwa haraka badala yake inamchukua muda kuoa tena