Mwangaza
Senior Member
- Feb 26, 2008
- 198
- 64
Nukuu kutoka gazeti la mwananchi Nov 9,2011;
..," Kamanda Mpwapwa (OCD-Arusha) alishindwa kueleza sababu za jeshi hilo kushindwa kuwachukulia hatua vijana wa CCM, walioandamana na kufanya mkutano wa hadhara bila kibali licha ya jeshi hilo kuyapiga marufuku.
Pamoja na matukio haya kufanana na eneo la tukio kuwa sawa, lakini polisi tunashughulikia kila shauri kulingana na mazingira yake. Kisheria mtu huwezi kutenda kosa kwa sababu mwingine naye ametenda kosa kama lako, alisema Mpwapwa baada ya waandishi kuhoji kwa nini Chadema wamekamatwa kwa kosa linalofanana na lililotendwa na vijana wa CCM ambao hawakuguswa?.."
SOMA ZAIDI: Dk Slaa, Lissu mbaroni.
Hii inanishangaza na inaniuma sana..nchi hii demokrasia ilishakufa , hakuna amani, hakuna haki !! ..wala sheria!! kila kitu ni kuilinda "nyinyiemu" tu.!! F@&#*#&#K !!!
Angrrrrrrr!!!! IPO SIKU TUTALIANZISHA NA HAKUNA MAMLAKA, DOLA WALA JESHI LITAKOLOWEZA KUTUZUIA.. TUMECHOKA SASA!!! shit!!
..," Kamanda Mpwapwa (OCD-Arusha) alishindwa kueleza sababu za jeshi hilo kushindwa kuwachukulia hatua vijana wa CCM, walioandamana na kufanya mkutano wa hadhara bila kibali licha ya jeshi hilo kuyapiga marufuku.
Pamoja na matukio haya kufanana na eneo la tukio kuwa sawa, lakini polisi tunashughulikia kila shauri kulingana na mazingira yake. Kisheria mtu huwezi kutenda kosa kwa sababu mwingine naye ametenda kosa kama lako, alisema Mpwapwa baada ya waandishi kuhoji kwa nini Chadema wamekamatwa kwa kosa linalofanana na lililotendwa na vijana wa CCM ambao hawakuguswa?.."
SOMA ZAIDI: Dk Slaa, Lissu mbaroni.
Hii inanishangaza na inaniuma sana..nchi hii demokrasia ilishakufa , hakuna amani, hakuna haki !! ..wala sheria!! kila kitu ni kuilinda "nyinyiemu" tu.!! F@&#*#&#K !!!
Angrrrrrrr!!!! IPO SIKU TUTALIANZISHA NA HAKUNA MAMLAKA, DOLA WALA JESHI LITAKOLOWEZA KUTUZUIA.. TUMECHOKA SASA!!! shit!!