Hii Historia ninauhakika inawaumiza Magamba kila kukicha.Dr W.Slaa alikuwa kada mzuri sana wa CCM na alikuwa na siri nyingi sana za Chama,Kwenye kura za Maoni mwaka 1995 ndani ya CCM kuwania nafasi ya kugombea Ubunge Karatu,Dr alishinda kwa kishindo lakini wana CCM wakamtosa na kumsimamisha mgombea aliyeshindwa.
Kwa mapenzi ya wana Karatu wakamshauri Dr W.Slaa kusimama kwa tiketi ya CDM,kilichotokea CCM hawakuamini mpaka leo hiyo dhambi inawala usiku na mchana...
Nawasilisha...
Kwa mapenzi ya wana Karatu wakamshauri Dr W.Slaa kusimama kwa tiketi ya CDM,kilichotokea CCM hawakuamini mpaka leo hiyo dhambi inawala usiku na mchana...
Nawasilisha...