Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
- Thread starter
- #21
King''asti asante kwa ushauri. Lakini kumbuka yule yule binti ndiye alikuwa karibu sana na mimi kiasi kwamba nilimueleza mahusiano yangu. na nilipopita kwenda Bagamoyo nilikuwa nakwenda likizo na mchumba wangu na wote walilitambua hilo. Je hiyo haikutosha wao kuelewa kuwa hakukuwa na uhusiano kati yangu na yule baba?
Last edited by a moderator: